Luis
Suárez ndie aliyeanza kuliona lango la Apoel Nicosia kipindi cha kwanza
dakika 27 kisha bao zilizofuata ni za supa Staa Lionel Messi akifunga
Hat-trick usiku huu na Kuvunja Historia bao pili akilifunga dakika ya
38, Kipindi cha pili alifunga bao mbili dakika ya 58 na dakika ya lala
salama dakika ya 87.Messiakifikisha bao 74 usiku huu na kuvunja rekodi ya RaulMessi akishangilia bao...
Wednesday, November 26, 2014


Wachezaji wa Chelsea wakipongezana baada ya kuisambaratisha Schalke 04Kocha Roberto Di Matheo wa SchalkeFundi na mbwembwe zake!!Kikosi kilichoanza cha Chelsea
John Terry alifunga bao la mapema dakika
ya 2 na kuifanya Chelsea kuongeza mabao zaidi kwa timu inayofundishwa
na kocha wa zamani wa Chelsea Roberto Di Matheo. Willian alipachika
bao la pili dakika ya 29 na bao la Tatu lilikuwa la...


Sergio
Agüero alifunga bao zote tatu na kuipa ushindi Man City dhidi ya Bayern
Munich ambao walikuwa wanacheza Mtu 10 Uwanjani. Ushindi huu unawatoa
mkiani na kupanda kwa kutimiza pointi tano kwenye kundi lao E. City sasa
Kukipiga sasa Roma huku Bayern wakikipiga na CSKA Moscow mchezo ujao.3-2
Hetitriki ya Sergio Aguero imeweka hai matumaini ya Man City kufuzu
kuingia Raundi ya Mtoano...
Subscribe to:
Posts (Atom)