Wednesday, November 26, 2014
1:14 AM
Unknown
1:13 AM
Unknown
John Terry alifunga bao la mapema dakika ya 2 na kuifanya Chelsea kuongeza mabao zaidi kwa timu inayofundishwa na kocha wa zamani wa Chelsea Roberto Di Matheo.
Willian alipachika bao la pili dakika ya 29 na bao la Tatu lilikuwa la kujifunga wao wenyewe Schalke 04 kupitia kwa Jan Kirchhoff dakika ya 44 ya kipindi cha kwanza. Didier Drogba alifunga bao la nne kipindi cha pili dakika ya 76 na Ramires alimaliza bao la mwisho ndani ya dakika chache kwenye dakika ya 78.
1:10 AM
Unknown
Hetitriki ya Sergio Aguero imeweka hai matumaini ya Man City kufuzu kuingia Raundi ya Mtoano baada ya kuwafunga Mtu 10 Bayern Munich Bao 3-2 huku Aguero akipiga Bao 2 Dakika 5 za mwisho wakati Bayern walikuwa mbele 2-1.
Man Citywalipewa Penati Dakika ya ya 20 kufuatia Sentahafu Medhi Benatia kumwangusha Sergio Aguero ambae alifunga Penati hiyo huku Benatia akipewa Kadi Nyekundu.
Bayern walisawazisha kwa Bao la Alonso Dakika ya 40 na Robert Lewandowski kuwapa Bao la Pili Dakika ya 45.
Bao 2 nyingine za Aguero zilifungwa Dakika za 85 na 90.
Kwenye Mechi ya awali iliyochezwa huko Moscow, AS Roma waliongoza kwa Bao la Francesco Totti katika Dakika ya 43 lakini CSKA walisawazisha Dakika za Majeruhi kwa bahati tu kupitia Berezutski.
Bao za Bayern Munich zilifungwa na Xabi Alonso dakika ya 40 kwa frii kiki na bao la pili kufungwa na Robert Lewandowski katika dakika ya 45 kwa kichwa safi.
Subscribe to:
Comments (Atom)
RSS Feed
Twitter