Thursday, April 16, 2015

VfL Wolfsburg 0 vs 2 Napoli Bao zimefungwa Gonzalo Higuaín dakika ya  15 na  Marek Hamsik dakika  23.  Kipindi cha kwanza kilimalizika Napoli wakiongoza kwa bao 2-0 dhidi ya VfL Wolfsburg. Kipindi cha pili Napoli walifanikiwa kupata bao la tatu kupitia kwa Marek Hamsik dakika ya 64 na kufanya 3-0 Wolfsburg ambao walikuwa kwao kwenye mchezo huu. Bao la nne lilifungwa...
Diego Costa na Eden Hazard wameiongoza Chelsea kufikia ilipo mpaka sasa Kileleni kwenye Ligi Kuu England BPL Na sasa wapo kwenye Listi ya Wachezaji 6 wanaowania Tuzo hiyo.Straika wa England Harry Kane mwenye goli 19 mpaka sasa, Listi hiyo inahusishwa pia kuwemo Philippe Coutinho, Kipa wa Manchester United David de Gea na Mchezaji wa Arsenal fowadi Alexis Sanchez. Luis Suarez ndie aliyekuwa...
LIGI KUU VODACOM RATIBA Ijumaa Aprili 17 Stand United vs JKT Ruvu Jumamosi Aprili 18 Polisi Moro v Ndanda FC Mbeya City v Simba Azam FC v Kagera Sugar Jumapili Aprili 19 Ruvu Shooting v Mgambo JKT   MSIMAMO ULIVYO KWA SASA:...
Yanga, Wawakilishi pekee wa Tanzania waliobakia kwenye michuano ya Klabu Barani Afrika, Jumamosi wapo Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam kucheza na Etoile du Sahel ya Tunisia katika Mechi ya Kwanza ya Raundi ya Mtoano ya Timu 16 ya Mashindano ya CAF ya Kombe la Shirikisho.Yanga imetua hatua hii baada ya kuzibwaga BDF XI ya Botswana na FC Platinum ya Zimbabwe katika Raundi za awali. Akizungumzia ...
Balozi Henry Mdimu akiongea na vyombo vya habari Taasisi isiyo ya ki serikali ya Imetosha Foundation inayopinga unyanyapaa, ukatili na mauaji dhidi ya watu wenye ualbino kwa njia ya elimu, inatarajia kutuma ujumbe mzito kanda ya ziwa hapo kesho kwa maandalizi ya ujio wa timu nzima ya taasisi hiyo iliyojikita kwenye kubadilisha mtazamo (mind set) wa watu juu ya janga hili. Ujumbe huo...
EUROPA LIGI, Mashindano makubwa ya pili kwa Klabu Barani Ulaya, Alhamisi yanaingia hatua za Robo Fainali kwa Mechi zake za kwanza kuchezwa. Kama ilivyo kwa UEFA CHAMPIONS LIGI, England haina hata Timu moja kwenye hatua hii baada ya Everton na Tottenham kutupwa nje hatua iliyopita.Mabingwa Watetezi, Sevilla ya Spain, bado wamo kwenye Mashindano haya na wanaanza Nyumbani katika Mechi na...

waliotembelea blog