Thursday, December 4, 2014

Wababe msimu wa 2013DROO ya kupanga Makundi ya AFCON 2015, Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika imefanyika huko Malabo Nchini Equatorial Guinea. Wenyeji Equatorial Guinea wako Kundi A pamoja na Congo-Brazzaville, Gabon na Burkina Faso na wao ndio watacheza Mechi ya ufunguzi hapo Januari 17 dhidi ya Congo-Brazzaville. Mechi ya Fainali ya Mashindano...

waliotembelea blog