Thursday, July 25, 2013

Wakati mwanamke wa kivazi kilichositisha ndoa kanisani kwa dakika kadhaa akidai hakuwa na tatizo kuvaa vile, Katekista wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Peter, Yohane Maboko, amesisitiza kuwa alikiuka maadili ya Kanisa.Mwanamke huyo ambaye ameendelea kukataa kutaja jina lake, huku njia zingine zikimtaja kwa jina la Restituta Kalemera, alidai jana kuwa kivazi hicho cha mabega wazi hakikuwa...
Klabu ya Young Africans imekamilisha usajili wa mshambuliaji Hussein Javu kutoka timu ya Mtibwa Sugar ya Manungu Turiani - Morogoro ambapo mchezaji huyo leo ameanza mazoezi katika uwanja wa shule ya sekondari Loyola Mabibo jijini Dar es salaam. Usajili wa Javu unafikisha idadi ya washambuliaji sita  Mshambuliaji mpya wa timu ya Yanga Hussein Javu mpaka sasa wakiwemo Didier Kavumbagu,...

waliotembelea blog