Rais Dkt.Jakaya Kikwete akisalimiana na Tundu Lissu Chadema. Nyuma ni James Mbatia NCCR Mageuzi.
Rais
Kikwete alionekana mwenye furaha tele wakati alipokutana na viongozi wa
vyama hivyo na kivutio zaidi ilikuwa pale alipokutana na Mnadhimu Mkuu
wa Kambi rasmi ya Upinzani, Tundu Lissu.
Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa vyama vya siasa vya CCM,
Chadema, CUF, NCCR- Mageuzi,...
Wednesday, October 16, 2013



Muziki wa bongoflava sasa hivi umekua kazi rasmi na vijana wengi
wanabadilisha maisha yao na kuyaweka kwenye level kubwa zaidi ya
kiuchumi kutokana tu na show, mauzo ya nyimbo kwenye simu za mkononi
pamoja na biashara nyingine.
Rich Mavoko yule staa wa ‘will you marry me’ ameongea na
millardayo na kusema “Nyumba ipo Morogoro kwetu lakini baada ya
kuweka wazi hizi picha mama yangu aliniambia...
Subscribe to:
Posts (Atom)