LEO
JUMANNE, Februari 24, Uwanja wa Etihad Jijini Manchester utalipuka kwa
mpambano mkali wa Mechi ya Kwanza ya Raundi ya Mtoano ya Timu 16 ya UEFA
CHAMPIONS LIGI kati ya Manchester City na FC Barcelona. Mechi hii
ni Marudio ya Mechi ya Msimu uliopita ya Raundi hii hii ya Mashindano
haya wakati Man City ilipotolewa na Barcelona kwa Jumla ya Mabao 4-1
katika Mechi mbili ambazo kila Mechi...
Tuesday, February 24, 2015


NAHODHA
wa Manchester United ametamka kuwa baada ya kufungwa na Swansea City
basi hawana budi kuifunga Sunderland Jumamosi la sivyo wataikosa UEFA
CHAMPIONS LIGI. Jumamosi, wakicheza huko Liberty Stadium, Man United
waliongoza Bao 1-0 lakini wakairuhusu Swansea kuwachapa Bao 2-1 kikiwa
ni kipigo chao cha pili katika Mechi 20 zilizopita chini ya Meneja Louis
van Gaal. Ingawa
bado zipo Mechi...
Subscribe to:
Posts (Atom)