Monday, December 23, 2013

Kocha aliyesitishiwa mkataba Ernie Brandts Uongozi wa klabu ya Young Africans SC umempatia taarifa (Notice) ya siku ya thelathini (30) kocha mkuu mholanzi Ernie Brandts juu ya kusitisha mkataba wake kuanzia jana Disemba 22 mwaka huu. Maamuzi hayo yanafuatia muenendo wa matokeo mabaya katika michezo iliyopita ya Ligi Kuu, kirafiki na bonanza la Nani Mtani Jembe dhidi ya Simba SC mwishoni...
   Arsene Wenger na Jose Mourinho wakisalimiana hapa kwa kupeana mikono .     Eden Hazard akitaka kumtoka Aaron Ramsey           Santas wa Chelsea wakililia pointi tatu muhimu kwenye uwanja wa Emirates usiku huu.         Mourinho akimpa msaada wa kumyanyua juu Sagna baada...
Kocha wa Yanga, Ernst Brandts  ‬ Uongozi wa timu ya Yanga umesitisha mkataba wa kocha wake mkuu Ernie Brandts ikiwa ni siku 2 tu tangu timu hiyo ifungwe na Simb...
     zitto Kabwe amesimikwa hii  Kuwa MWAMI na wazee wa kasulu Mh.Zitto Kabwe akiwashukulu sana Wanakasulu kwa namna walivyojitokeza kwenye mapokezi hapa kasulu       nn l       ...

waliotembelea blog