Ukiachilia ustaa wao na ufundi wao
wanapokua uwanjani, kuna wachezaji ambao wamekua kivutio kikubwa kwa
mashabiki wao kutokana na muonekano wao kwa ujumla.
Mara nyingi wamekuwa wakitumika katika
matangazo mbalimbali ya biashara lakini kuna mtandao mmoja umeweza
kutaja listi ya mastaa 10 wa soka duniani ambao wana muonekano mzuri.
1. Cristiano Ronaldo
amekuwa na mafanikio makubwa...
Wednesday, May 20, 2015


wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF limetangaza Uchaguzi Mkuu wa
klabu ya Coastal Union ya jijini Tanga utafanyika tarehe 05, Julai
2015.
Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi
ya TFF, Wakili Melchesedek Lutema ametoa ratiba ya mchakato mzima wa
uchaguzi huo, ambapo tarehe 21-22 Mei mwaka huu zitatangazwa nafasi zote
zinazogombewa.
Kwa mujibu wa kalenda hiyo ya
Uchaguzi, tarehe 23-30,...



Jana
Usiku huko England, Klabu nyingi za Ligi Kuu England zilifanya Hafla
maalum kutunuku Tuzo kwa Wachezaji wao Bora wa Msimu wa 2014/15 ambao
unamalizika Jumapili hii. Huko Manchester United, Meneja wao louis
van Gaal alijizolea sifa kemkem kwa spichi yake murua iliyofurahisha na
kuhamasisha na kushangiliwa mno Ukumbini na kujizolea sifa kubwa katika
Mitandao ya Jamii.Katika
Hafla...
Subscribe to:
Posts (Atom)