Wednesday, May 20, 2015

Ukiachilia ustaa wao na ufundi wao wanapokua uwanjani, kuna wachezaji ambao wamekua kivutio kikubwa kwa mashabiki wao kutokana na muonekano wao kwa ujumla. Mara nyingi wamekuwa wakitumika katika matangazo mbalimbali ya biashara lakini kuna mtandao mmoja umeweza kutaja listi ya mastaa 10 wa soka duniani ambao wana muonekano mzuri. 1. Cristiano Ronaldo amekuwa na mafanikio makubwa...
wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF limetangaza Uchaguzi Mkuu wa klabu ya Coastal Union ya jijini Tanga utafanyika tarehe 05, Julai 2015. Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya TFF, Wakili Melchesedek Lutema ametoa ratiba ya mchakato mzima wa uchaguzi huo, ambapo tarehe 21-22 Mei mwaka huu zitatangazwa nafasi zote zinazogombewa. Kwa mujibu wa kalenda hiyo ya Uchaguzi, tarehe 23-30,...
Jana Usiku huko England, Klabu nyingi za Ligi Kuu England zilifanya Hafla maalum kutunuku Tuzo kwa Wachezaji wao Bora wa Msimu wa 2014/15 ambao unamalizika Jumapili hii. Huko Manchester United, Meneja wao louis van Gaal alijizolea sifa kemkem kwa spichi yake murua iliyofurahisha na kuhamasisha na kushangiliwa mno Ukumbini na kujizolea sifa kubwa katika Mitandao ya Jamii.Katika Hafla...

waliotembelea blog