Miss Dar City Center wakichezo show wakati wa onesho maalum la
kuwatambulisha lililofanyika juzi jijini Dar es Salaam katika kiota cha
Escape One.
Miss Dar City Center wakipozi jukwaani wakati wa kuwatambulisha
lililofanyika juzi jijini Dar es Salaam katika kiota cha Escape One.
Miss Ubungo nao walikuwepo kuwasindikiza wenzao wa Dar City Center.
Miss Ukonga 2014 nao waliwasindikiza...
Tuesday, May 6, 2014


Mchezaji
Chipukizi wa miaka 18 James Anthony Wilson aliifungia bao United katika
dakika ya 31 baada ya Manchester United kupata frii kiki ambayo
ilipigwa na Marouane Fellaini na hatimaye Dogo huyo Wilson kuachia shuti
kali ambalo limezama hadi langoni mwa timu ya Hull City.Bao!!!!!!James Anthony Wilson alivyoipachikia bao United na kufanya 1-0 kipindi cha kwanza1-0 bao la Wilson.
Bao pekee...


Shirikisho
la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeazimia kuanzisha Mfuko wa
Maendeleo ya Mpira wa Miguu Tanzania (TFF Development Trust Fund).Uamuzi
wa kuanzisha mfuko huo umepitishwa katika kikao cha Kamati ya Utendaji
ya TFF iliyokutana Mei 3 mwaka huu jijini Dar es Salaam ambapo madhumuni
yake ni kutafuta vyanzo vya rasilimali za kuendeleza programu za mpira
wa miguu Tanzania.Mfuko huo...


Nemanja Vidic akipata picha ya pamoja na Sir Bobby Charlton kwenye
uwanja wa Old Trafford leo wakati Man United walipoikaribisha timu ya
Hull City
Kwaheri kijana!!! Nemanja anatimkia kucheza soka lake la mwisho huko Inter Milan
Vidic na baadhi ya wachezaji wa United
Vidic alianzia benchi kwenye mtanange wao na Hull City ambapo Vidic
alichukua nafasi ya Phil...


Mtaalamu wa nyasi bandia kutoka Shirikisho la
Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Ian McClements amewasili Bukoba leo hii Asubuhi kwa Ndege ya kukodi.
McClements akiwa hapa Bukoba amekagua Uwanja wa
Kaitaba, na baadae amekwea tena ndege yake kuelekea jijini Mwanza kukagua
Uwanja wa Nyamagana.
Viwanja hivi vinawekwa nyasi bandia...
Subscribe to:
Posts (Atom)