Bao pekee la Hull City lilifungwa na Fryatt katika Shuti lao pekee Golini.
Huenda Hull City, ambao wako Fainali ya FA CUP na watacheza na Arsenal Uwanjani Wembley hapo Mei 17, wakamkosa Mchezaji wao mzuri Meyler kwenye Fainali hiyo baada ya Mchezaji huyo kunaswa akimkanyaga Januzaj bila Refa kuona ikiwa FA, Chama cha Soka England, kitalipitia tukio hilo.
Mpaka mapunziko United ndio wameenda kupumzika wakiwa mbele ya bao 1-0.
James Anthony Wilson anaifungia bao dakika ya 61 kipindi cha pili na kufanya 2-0 baada ya Januzaj kukimbia na mpira mbele na kumpa pasi ili afunge Fellaini na kuchemka na mpira huo kutemwa na kipa na James Anthony Wilson kufunga bao hilo likiwa la pili kwake. Dakika chache tena United wamefanya makosa ya ukabaji na mchezaji wa Hull Matt Fryatt kufunga bao katika dakika ya 63 baada ya kutengewa mpira na George Boyd.
Daklika ya 70 Giggs anaingia na anachukua nafasi ya Thomas Lawrence. Dakika ya 86 Robin van Persie anaipachikia bao la tatu Man United baada ya kukosa kosa bao kadhaa sasa anapachika bao na kufanya 3-1 dhidi ya Hull
Wilson akipeta baada ya kuifungia bao Manchester United
Robin van Persie akiosha! Bao la 3
Robin van Persie akishangilia bao lake
Mchezaji na Meneja: Ryan Giggs wakati anachukua nafasi ya Tom Lawrence kipindi cha pili dakika ya 70
VIKOSI:
Man Utd: De Gea, Valencia, Jones, Smalling, Buttner, Carrick, Fellaini, Januzaj, Lawrence, Kagawa, Wilson.
Subs: Mata, Giggs, Vidic, Young, van Persie, Keane, Amos.
Hull City: Jakupovic, Bruce, Davies, Figueroa, Elmohamady, Quinn, Koren, Meyler, Rosenior, Long, Boyd.
Hull City: Jakupovic, Bruce, Davies, Figueroa, Elmohamady, Quinn, Koren, Meyler, Rosenior, Long, Boyd.
Subs: Huddlestone, Fryatt, Livermore, Jelavic, Sagbo, Harper, Faye.
Referee: Craig Pawson
Nemanja Vidic na Ryan Giggs wakipasha
James Wilson wa Man United akipasha kabla ya mechi
Tom Lawrence
Referee: Craig Pawson
RSS Feed
Twitter
9:43 PM
Unknown
0 maoni:
Post a Comment