MABINGWA
watetezi Tanzania bara Yanga wamelazimishwa sare ya bao 1-1 katika
mchezo wa 17 wa Ligi Kuu Soka Tanzania bara dhidi ya African Lyon.
Katika mchezo huo uliochezwa kwenye uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam,
mabao yalifungwa na Ludovick Venance wa African Lyon na Amis Tambwe kwa
upande wa Yanga. Sare hiyo itaendelea kuibakiza Yanga kwenye nafasi
ya pili ikifikisha jumla ya pointi...
Saturday, December 24, 2016


Mechi 14 za Ligi Kuu ya Vodacom zinatarajiwa kufanyika wakati huu wa
msimu wa kufunga mwaka 2016 na mbili za zitafungua mwaka 2017 ambako
Kituo cha Televisheni cha Azam - Wadhamini wenza wa ligi hiyo,
wamethibitishia Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kupata
burudani kwa michezo yote kulingana na ratiba. Katika Ligi hiyo
ambayo pia inabarikiwa na Benki ya Diamond Trust (DTB),...
Subscribe to:
Posts (Atom)