Raia
huyo wa Uingereza ambaye harakati za kuhamia Manchester City,
zilitumbukia nyong'o amekadiriwa kuwa mwenye thamani ya pauni milioni 35
na kampuni ya utafiti ya Soccerex inayochapisha Orodha ya wachezaji
wenye thamani ya juu ama 20 Football Value Index.Manchester City ilikuwa imeweka dau la pauni milioni £40 lakini ombi lao likakataliwa na Liverpool.Mlinzi
wa Manchester United, Luke...
Tuesday, July 7, 2015


Bondia
Bingwa wa dunia wa uzani wa Welter Floyd Mayweather amepokonywa ukanda
alioutwaa baada ya kumchapa Mfilipino Manny Pacquiao mwezi Mei.Mmarekani
huyo mwenye umri wa miaka 38 anadaiwa kushindwa kuilipa shirikisho la
ndondi la WBO ada ya dola lakimi mbili $200,000 kabla ya makataa
aliyopewa ya tarehe 3 Julai. Mayweather alitakiwa pia kutoa...


Harold Mayne-NichollsAfisa
wa shirikisho la soka duniani ,FIFA aliyesimamia jopo la kutathmini
uwenyeji wa kombe la dunia la mwaka wa 2018 na 2022 amepigwa marufuku ya
miaka 7FIFA imetangaza kuwa bwana Harold Mayne-Nicholls, 54
hataruhusiwa kushiriki maswala yeyote yanayohusiana na kandanda kwa
kipindi cha miaka 7 ijayo.Kamati ya maadili ya FIFA imesema kuwa itatangaza wazi madai dhidi...
KOCHA MKUU BONIFACE MKWASA AWASHUKURU WATANZANIA, ATAKA APEWE MUDA ZAIDI KUITENGENEZA TIMU YA TAIFA!


Kocha
Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia
ya Kilimanjaro Premium Lager, Charles Boniface Mkwasa amewashukuru
watanzania wote waliowapa sapoti katika mchezo wa marudiano dhidi ya
Uganda uliochezwa mwishoni mwa wiki jijini Kampala.Mkwasa amesema
kujitolea kwa wachezaji wa Taifa Stars (uzalendo) katika mchezo huo
kulipelekea kuwapa wakati mgumu wenyeji,...


.
Good news ninayotaka kukusogezea ni hii
kutoka kwa msanii wa Bongo Fleva, H Baba ambaye ametangaza rasmi sasa
hivi kurudi kwenye soka na kujiunga na timu ya Toto African.
‘Kupitia
kwenye kipindi cha AMPLIFAYA cha Clouds FM july 7, 2015 alifunguka na
kusema’Ni kweli kwamba mimi nina vipaji vingi sasa ubora wa vipaji ni
kuvionesha kwasababu nilishawahi...


Taarifa
ilianza kuenea jioni ya July 07 2015 kwenye kuhusu ajali ya Helicopter
iliyokua imebeba Wanachadema mbalimbali akiwemo mbunge Arumeru Mashariki
Joshua Nassari.
Kwenye ukurasa wa Twitter wa CHADEMA zimewekwa post kwamba Mbunge Joshua Nassari ndiye
aliyepata ajali hiyo ya Helicopter, amepelekwa Hospitali kwa ajili ya
matibabu pamoja na rubani...
Subscribe to:
Posts (Atom)