Saturday, November 8, 2014

LIGI KUU ENGLAND Wikiendi hii inaanza kwa Mechi ya Jumamosi ya mapema kabisa huko Anfield kwa Bigi Mechi kati ya Liverpool na Vinara wa Ligi Chelsea. Mechi hii, itakayoanza Saa 9 Dakika 45 Mchana, inazikutanisha Liverpool, walio Nafasi ya 7 kwenye Ligi, na Vinara wa Ligi Chelsea walio Pointi 12 mbele yao. Timu zote hizi mbili zinatoka kwenye Mechi za kati Wiki za UEFA CHAMPIONS LIGI...

waliotembelea blog