Wednesday, September 17, 2014

ARSENE Wenger amewalaumu wachezaji wake kwa kushindwa kuonesha kiwango kizuri baada ya kufunbgwa 2-0 na Borrusia Dortmund katika mchezo wa ligi ya mabingwa jana usiku (Uefa), huku wakirudi nyumbani na balaa kufuatia mkali wao Jack Wilshere kupata majeruhi. Wilshere alitegua kifundo chake cha mguu wa kulia katika dakika za majeruhi na Wenger amekiri kuwa ameumia sehemu ile ile ambayo...

waliotembelea blog