ARSENE Wenger amewalaumu wachezaji wake
kwa kushindwa kuonesha kiwango kizuri baada ya kufunbgwa 2-0 na Borrusia
Dortmund katika mchezo wa ligi ya mabingwa jana usiku (Uefa), huku
wakirudi nyumbani na balaa kufuatia mkali wao Jack Wilshere kupata
majeruhi.
Wilshere alitegua kifundo chake cha mguu
wa kulia katika dakika za majeruhi na Wenger amekiri kuwa ameumia
sehemu ile ile ambayo...