Ishu
ya ubaguzi wa rangi kwa nchi za wenzetu bado imeendelea kuonekana
kuchukua nafasi, hata katika soka matukio ya ubaguzi kwa baadhi ya
wanasoka ambao ni weusi imeendelea kuchukua headlines.
Tukio la hivi karibuni la mashabiki wa Chelsea lilionyesha
dhahiri kwamba bado hawana mapenzi na watu wa rangi nyeusi baada ya
kumzuia shabiki mwenzao asipande ndani ya...
Wednesday, March 11, 2015



Watu
zaidi ya 30 wanasadikiwa kupoteza na maisha na wengine kadhaa
kujeruhiwa vibaya sana katika ajali mbaya iliyotokea mapema leo
asubuhi,maeneo ya Changarawe,Mafinga
Mkoani Iringa,iliyohusisha Lori la Mizigo na Basi la abiria la Kampuni
ya Majinja lililokuwa likitokea Mkoani Mbeya kuelekea jijini Dar es
salaam.
Ajali
hiyo imetokea baada ya Lori hilo la Mizigo lililokuwa...


LEO JUMATANO Usiku Uwanjani Stamford
Bridge Jijini London, Chelsea watakuwa Wenyeji wa Paris St Germain
katika Mechi ya Marudiano ya Raundi ya Mtoano ya Timu 16 za UEFA
CHAMPIONS LIGI. Kwenye Mechi ya kwanza huko Parc des Princes Jijini
Paris Nchini France hapo Februari 17, Branislav Ivanovic aliifungia
Chelsea Bao muhimu la Ugenini walipotoka Sare 1-1 na PSG. Msimu
uliopita, Chelsea...


MRATIBU WA KIBIKI CUP HARUNA SALEH AKIWA NA MDAU WA SOKA FRANK KIBIKI
Mratibu wa KIBIKI CUP Haruna Saleh akiwa na mdau wa soka FRANK KIBIKI na wanahabari
NA
MWANDISHI WETU, IRINGA
LIGI
inayoshirikisha watoto walio chini ya
umri wa miaka 16, inaloitwa Iringa
Kibiki Childrens Cup 2015 yenye lengo la kupinga mauaji ya walemavu wa ngozi (Albino)
inatarajia...
Subscribe to:
Posts (Atom)