DIEGO
ARMANDO MARADONA, Lejendari wa Argentina, amesema Nchi yao inacheza
chini ya kiwango, wanamtegemea sana Lionel Messi na lazima waongeze
juhudi ikiwa watataka kuifunga Belgium kwenye Robo Fainali ya Kombe la
Dunia ambayo watakutana Jumamosi Usiku.
Maradona amesema: “Bado hatujaanza!
Lazima watambue wazi, waweke vichwani mwao, si kumtegemea Messi tu.
Labda anaweza...
Friday, July 4, 2014


RAIS
mpya wa Klabu ya Simba, Evans Aveva, ameanza kazi yake rasmi kwa kuteua
Kamati mbalimbali za Klabu hiyo na pia kusimamisha Wanachama 69
waliofungua Kesi Mahakamani. Aveva alitinga madarakani Simba baada
ya kushinda Uchaguzi Mkuu uliofanyika Jumapili iliyopita Jijini Dar es
Salaam kwa kuzoa Kura 1455 na kumshinda Andrew Tupa aliepata Kura 388. Makamu
wa Rais alichaguliwa Geoffrey Nyange...



Meneja
Masoko wa Kampuni ya Mohn's John Ntuli (kulia) akizungumza na waandishi
wa habari wakati wa kumtambulisha Mwanamichezo kutoka nchini
Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara
maalum ya kimichezo. Pembeni ni Mkurugenzi wa Masoko Kampuni ya Mohan’s
Vijay Joshi.
Mwanamichezo
kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati)...
Subscribe to:
Posts (Atom)