Mwimbaji
kutokea muziki wa dansi, Christian Bella ameongea kwenye AMPLIFAYA ya
Clouds FM July 8, 2015 na kuthibitisha kwamba kukosa tuzo sehemu yoyote
au kwenye tuzo zozote haitampelekea yeye kujiondoa kushirikishwa kwenye
tuzo.
.
Anaamini
kuna vitu vingine vinatokea kwa binadamu..’Cha muhimu nini unafanya na
jamii inapokea kazi yako vipi waliopata tunawapa hongera ukiangalia
vizuri...