
Msafara wa Magari ambao moja wapo (la mbele) likiwa limebeba jeneza
lenye mwili wa marehemu Julius Nyaisanga ukiingia kwenye viwanja vya
leaders muda huu kwaajili ya wakazi wa jiji la Dar kuweza kutoa heshima
zao za mwisho kwa Mwili wa Marehemu Julius Nyaisanga kabla ya
Kusafirisha Kwao Tarime Mkoani MaraBaadhi
ya Ndugu, Jamaa na marafiki wakibeba jeneza lenye Mwili wa Marehemu...