Wednesday, November 27, 2013

Siku ya leo ilikuwa ndio hitimisho la semina ya  Fursa inayosimamiwa na Clouds media,ni semina  ilioyokuwa inatoa mafunzo ya namna ya kuztumia fursa,ama  nafasi zinazotuzunguka kujikwamua na  umaskin ama kujisogeza ,mahali ulipo  kwenda ngazi nyingine ya juu,na  mimi nilikuwa mmoja  ya watu tuliotoa shuhuda za maisha yetu,jinsi...

waliotembelea blog