Saturday, January 25, 2014

Hati ya Usajili wa Emmanuel Okwi kama inavyoeneka kwenye system ya CAFUongozi wa klabu ya Young Africans umeamua kuweka hadharani ukweli kuhusiana na usajili wa mshambuliaji wake wa kimataifa kutoka nchini Uganda Emmanuel Okwi ambaye kamati ya maadili na hadhi za wachezaji imemzuia kuichezea Young Africans mpaka watakapopata uthibitisho kutoka FIFA.Young Africans ilikamlisha usajili wa...
Emmanuel Okwi JAMBO ambalo linaiumiza kichwa Yanga sasa ni kutaka kuhakiki kama kweli Etoile du Sahel imewasilisha jina la straika, Emmanuel Okwi kwenye usajili wake kwa Shirikisho la Soka Afrika (CAF). Lakini katika orodha ya Etoile du Sahel, ambayo Mwanaspoti imepata nakala yake jana Ijumaa ni kwamba klabu hiyo imepeleka CAF majina 24 tu,...

waliotembelea blog