Sunday, March 16, 2014

  Kikosi cha mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga kimepata msukosuko baada ya basi lao kutumbukia msingini katika eneo la Mikese mkoani Morogoro. Basi hilo limepata ajali takribani saa moja iliyopita wakati wakiwa njiani kurejea jijini Dar es Salaam baada ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini humo, jana. Taarifa zinasema hakukua na majeruhi lakini...
Baada ya kusimamishwa kwa takriban wiki moja, vipindi vya Televisheni vya shindano la Maisha Plus, vinatarajiwa kurudi tena hewani leo saa tatu usiku, kupitia kituo cha televisheni kile kile, TBC1. Akizungumza mapema asubuhi hii katika mkutano na wanahabari, Mratibu wa shindano hilo ambalo mwaka huu limepewa jina la Maisha Plus Rekebisha, Ally Masoud `Kipanya', amesema baada ya...
Mshambuliaji hatari wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa stars na klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo, Mbwana Aly Samatta (wa kwanza kulia) akipata maelekezo kutoka kwa kocha wake PATRICE CARTERON katika mazoezini jana ...

waliotembelea blog