Tuesday, July 28, 2015

Mbunge wa Ilala mheshimiwa Mussa Zungu leo amefungua mashindano ya Airtel Rising Stars mkoa wa Dar es Salaam na kuwataka vijana kucheza kwa kujituma ili kuwa wachezaji bora na hatimaye kulinusuru taifa na matokeo mabaya katika medani ya kimataifa. Zungu amelitaka Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) kuhakikiha kwamba timu zote za ligi kuu na daraja la kwanza zinakuwa na timu...
Donald Ngoma aliyesajiliwa Yanga SC mwezi uliopita kutoka FC Platinum ya kwao Zimbabwe anatarajiwa kuwa mwiba kwa safu ya ulinzi ya Azam FC kesho Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM WAKATI kesho Azam FC na Yanga SC zinakutana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, mchezo huo umekuwa gumzo kubwa. Hiyo itakuwa mara ya...
Hamisi Kiiza (jezi namba tano) akipongezwa na wenzake jana baada ya kufunga MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Uganda, Hamisi Friday Kiiza ‘Diego’ jaja amefunga bao lake la kwanza akiichezea kwa mara ya kwanza klabu yake mpya, Simba SC katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Kombaini ya Zanzibar. Katika mchezo huo wa kirafiki uliofanyika Uwanja wa Amaan, Zanzibar Simba SC ikicheza kwa mara ya kwanza...

waliotembelea blog