Sunday, November 2, 2014

Van Gaal aapa kuichapa Mancity Meneja wa kilabu ya Manchester United Louis Van Gaal anaamini kwamba timu yake itatumia fursa ya kushuka kwa soka ya kilabu ya Manchester City katika uwanja wa Etihad kuishinda kilabu hiyo. Kilabu ya Manchester City imepoteza mechi zake mbili za mwisho baada ya kushindwa na West Ham na Newcastle. ''Kile tulichokiona katika mechi mbili za mwisho si matokeo ya kuridhisha,alisema...
Wachezaji wa Man City wakishangilia na kupongezana kwa bao lililofungwa na Aguero dakika 63Smalling ameoneshwa kadi nyekundu kipindi cha kwanza mwishoni dakika 39Ni Shida kwenye lango la Man United.Kipa wa United De Gea bado ni shida...kwenye hii Debi!!Wayne Rooney arudi kwenye Debi ya Manchester UnitedLEO Jumapili, Novemba 2, Uwanjani Etihad, Dabi ya Jiji la Manchester, Mechi inayongojewa...

waliotembelea blog