
Wachezaji wa Survey Veterani wakiwa katika picha yapamoja Wachezaji wa Coastal U 20 kabla ya mechi.
Mchezaji
wa Timu ya Survey Veterani Hamad Shawejiakimtoka mchezaji wa Coastal
Union U 20 katika mashindano ya kilele cha nane nanae yaiyofanyika
viwanja vya mkwakwani Jijini Tanga.NA ELIZABETH KILINDI, TANGA
TIMU ya Survey Veteran ya jijini Dar es Salaamu, Jumapili iliyopita ilivuna sare ya bao 1-1 dhidi ya kikosi cha vijana wa chini ya miaka 20 wa timu ya Coastal Union katika mechi ya kirafiki iliyochezwa Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga.
RSS Feed
Twitter
10:28 PM
Unknown
0 maoni:
Post a Comment