Ronaldo alikosa kuipa Real Bao wakati walipopewa Penati na yeye kuipaisha juu lakini Dakika ya 42 wakapata Penati nyingine na yeye kupiga tena na kufunga.
Hadi Mapumziko, Real 1 Sociedad 0.
Dakika 4 tu baada ya Kipindi cha Pili kuanza Real Sociedad wakasawazisha kwa Bao la Armindo Bruma lakini Ronaldo akaipa Real Bao la Pili alipounganisha Kona ya Marcelo.
Bao la 3 kwa Real lilifungwa na Lucas Vazquez, alieingizwa Kipindi cha Pili kumbadili Karim Benzema, na hilo kuwa Bao lake la kwanza kabisa kwa Real.
0 maoni:
Post a Comment