Monday, December 30, 2013

J

Olivier Giroud ameifungia bao la kichwa  timu yake Arsenal katika Dakika ya 65 leo limeifanya Arsenal iifunge Newcastle huko St James Park Bao 1-0 na kutwaa tena uongozi wa Ligi Kuu England wakiwa Pointi 1 mbele ya Manchester City.
Ingawa Arsenal walifungua nafasi kadhaa za kufunga lakini ni Newcastle waliokosa Bao za wazi wakati Shuti la Moussa Sissoko lilipookolewa na Kichwa cha Mathieu Debuchy kupiga posti.
Goli hilo la Arsenal lilipatikana baada ya Frikiki ya Theo Walcott kuunganishwa na Giroud.
Ushindi huu umewafanya Arsenal wawe kileleni mwa Ligi Kuu England Siku ya Mwaka mpya kwa mara ya kwanza tangu Msimu wa 2007/08.

 

 
 
 
\ 

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog