Mgeni rasmi katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014, Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Ghalib Bilal akitoa hotuba.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Global Publishers Ltd ambao ndiyo waandaaji wa Tamasha la
Usiku wa Matumaini 2014, Eric Shigongo naye akitoa neno la matumaini kwa
maelfu ya Watanzania waliofurika Uwanja wa Taifa, Dar.
Alimpongeza Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo kwa kuandaa tamasha hilo kwani linaunganisha Watanzania wote.
RSS Feed
Twitter
7:57 AM
Unknown
0 maoni:
Post a Comment