Bao la Pili lilifungwa vizuri sana na Ashley Young na kuipa Man United ushindi wa Bao 2-0 dhidi ya Cardiff City ambayo Meneja wao mpya, Ole Gunnar Solksjaer, Nguli wa Man united, alipokewa vizuri na Mashabiki wa Old Trafford.
.
Mata akipongezana na Van Persie
RSS Feed
Twitter
12:13 AM
Unknown
0 maoni:
Post a Comment