
1:13 AM

Unknown
Dabi ya Merseyside imemalizika kwa Liverpool kuwafunga watani zao Everton Uwanjani Anfield kwa kuwatandika Bao 4-0.
Hadi Mapumziko, Liverpool walikuwa mbele 3-0 kwa Mabao ya Gerrard, Sturridge, Bao 2, na Suarez kupiga la 4 Kipindi cha Pili.

Raha za kufunga bao Steven Gerrard akichomoka kwa mbio kwenda mbele ya mashabiki kushangilia
L

0 maoni:
Post a Comment