Alipohojiwa ikiwa Van Persie ataendelea kuwa chaguo la kwanza la upigaji Penati, Van Gaal alijibu: "Hapana. Sasa ni mwisho."
Aliongeza: "Siku zote ni hivyo. Wayne Rooney alishawahi kukosa na ukikosa unarudi chini!"
Man United wako Nafasi ya 4 wakiwa Pointi 4 mbele ya Timu ya 5 Liverpool huku Mechi zikiwa zimebaki 5.
RSS Feed
Twitter
6:57 AM
Unknown
0 maoni:
Post a Comment