Thursday, November 14, 2013

DSC07947 b6a20
Gari namba T606 BJB  lilolokuwa linaelekea Ifunda kutoka stand kuu ya Iringa limepata ajali ya kuligonga Lori namba T 234 CLU Mali ya T.H Clements & Son LTD eneo la Kitwiru, wakati Dereva wake alipojaribu kulipita Lori hilo bila mafanikio   watu watatu wamejeruhiwa.
Picha na Said Ng'amilo.(HD)
DSC07949 8c551
DSC07952 09012
DSC07959 01a00

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog