Xabi Alonso, Kiungo wa Real Madrid, ametangaza kustaafu kuichezea Nchi yake Spain.Alonso,
Miaka 32, amekuwa mmoja wa kiini cha mafaniko ya Spain iliyotwaa EURO
2008 na EURO 2012 pamoja na Kombe la Dunia huko Afrika Kusini Mwaka
2010.Juzi Alonso aliichezea Spain Mechi yake ya 112 ilipofungwa 2-0
na Chile kwenye Mechi Kundi B na kutupwa nje ya Fainali za Kombe la
Dunia huko Brazil.Kwenye...
Sunday, June 22, 2014


WORLD CUP 2014: NIGERIA 1 vs BOSNIA-HERZEGOVINA 0, PETER ODEMWINGIE AWAPATIA USHINDI NIGERIA..
1-0,
Peter Odemwingie kushoto akishangilia bao lake lililotosha kuwapatia
alama 3 muhimu na kuwawezesha kuwa na jumala ya pointi 4 na wako nafasi
ya pili kwenye kundi lao na mtanange ujao kwa Nigeria ni jumatano tarehe
25 saa moja kamili.Peter
Odemwingie dakika ya 29 aliifungia bao timu yake baada...
Friday, June 20, 2014



Warembo
wanaowania taji la mkoa wa Tanga, Nice & Lovely Miss Tanga 2014
wakijiaandaa kufanya usafi katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga, ikiwa
ni moja ya kampeni ya kuendelea kulifanya jiji hilo liwe safi muda wote.
Washiriki
wa Nice & Lovely Miss Tanga 2014 wakitupa takataka katika gari
maalum la kubeba taka. Mshindi wa kwanza katika shindano hilo atapata
zawadi ya gari dogo...


Suarez baada ya kuimaliza England kwa bao 2-1.Luis
Suarez akishangilia bao lake baada ya kuifungia Uruguay kwa bao la
kichwa katika kipindi cha kwanza dakika ya 39 baada ya kupata
ushirikiano mzuri kutoka kwa Edinson Cavani. Dakika ya 75 Wayne Roone
ndie aliyeisawazishia bao England baada ya mabeki wa Uruguay kujisahau
na hatimaye Glen Johnson kumsogezea mpira Roone na...
Thursday, June 19, 2014


Itakuwa
Mechi ya ‘Kufa na Kupona’ maana yeyote atakaefungwa atakuwa na nafasi
finyu mno kutinga Raundi ya Pili ya Fainali za Kombe la Dunia baada ya
zote, England na Uruguay, kufungwa Mechi zao za Kwanza za Kundi D.England walichapwa 2-1 na Italy na Uruguay kudundwa 3-1 na Costa Rica.Wachezaji wa England wakijifua Sao Paulo masaa 24 kabla ya kukutana uso kwa uso na UruguayMeneja wa England...
Wednesday, June 18, 2014


Ligi kuu England itaanza Agosti 16 na leo hii Ratiba ya Msimu mpya wa 2014/15 imetangazwa. Mabingwa
Manchester City wataanza Ugenini na Newcastle wakati Meneja mpya wa
Manchester United, Louis van Gaal, atakuwa Nyumbani Old Trafford kucheza
na Swansea City. Arsenal wataanza Nyumbani kucheza na Crystal Palace na Chelsea wako Ugenini kuivaa Timu mpya iliyopanda Daraja Burnley. Siku hiyo ya...
Monday, June 16, 2014


Bao
la pili kwa Argentina lilifungwa na Staa Lionel Messi alipowachambua
mabeki na kuachia shuti kali kipindi cha pili dakika ya 65, Akipewa pasi
safi na Gonzalo Higuaín.
Mchezaji aliyeingia kipindi cha pili
akitokea benchi Vedad Ibisevic aliwafunga Argentina bao la kizembe
katika dakika ya 84 baada ya wachezaji wa Argentina kupeana pasi hewa
hisiyokuwa na macho na hatimaye...
Saturday, June 14, 2014



Rais
wa Kenya Uhuru Kenyatta ameizawadi kwa kuifadhili timu ya taifa ya soka
Harambe Stars ziara ya kwenda Brazil kutazama michuano ya kombe la
dunia Hafla ya kuikabidhi rasmi ufadhili huo timu hiyo, ilifanyika
katika ikulu ya Rais Ijumaa ambapo wachezaji kumi na moja wa timu hiyo
walikabidhiwa tiketi za ndege kwenda Brazil. Kitendo cha Rais bila
shaka ni jambo la kutaka kuwatia motisha...


Mchezaji wa Chile Gary Medel akimwendesha mchezaji wa Australia Tim Cahill
Mfungaji wa bao la kwanza wa Chile Alexis Sanchez akimfunga kipa wa Australia Maty Ryan
Sanchez akishangilia bao lake la kwanza kwa ChileSanchez akishangilia bao lake la kwanza dhidi ya Australia..Mauricio Isla akiteleza kumpongeza Sanchez kwenye konaMchezaji wa Chile Jorge Valdivia ndie aliyeifungia...
SPAIN 1 vs NETHERLANDS 5, VAN PERSIE NA ARJEN ROBBEN WAIONGOZA TIMU YAO KUCHAKAZA MABINGWA WATETEZI!


Darly Janmaat na Diego Costa wakiendana sambambaWasley Sneijder akifanya yakeSergio akiwekewa kigingi na NigelDiego Costa vipi...unasababisha penati...Mzee Mzima Alonso ndie aliyeipa bao kwa mkwaju wa penati SpainXabi Alonso akishangilia baoVan Persie akitupia kusawazisha...1-11-1....Van Persie akimpagawisha kipa wa Spain kwa bao la kiwangoVan Persie akishangilia bao lake Nipe tano...
Subscribe to:
Posts (Atom)