Mtu wangu wa nguvu January 12 katika
pitapita zangu mtandaoni nikakutana na list ya majina ya utani ya mastaa
watano wa soka. Katika maisha kila mmoja anaweza akawa na jina la utani
ambao huenda kapewa na familia yake au washikaji zake mtaani au kwa
sababu ya umahiri wake uwanjani ndio anaweza kujkuta kapewa jina.
January 12 naomba nikusogezee...
Tuesday, January 12, 2016


Mchezaji Bora wa Mwaka 2015 kwa Wachezaji wa Ndani, mchezaji wa Taifa Stars na Klabu ya TP Mazembe ya DRC Congo, Mbwana Samatta.
BAADA
ya kushinda Tuzo ya Afrika kama Mchezaji Bora wa Mwaka 2015 kwa
Wachezaji wa Ndani, mchezaji wa Taifa Stars na Klabu ya TP Mazembe ya
DRC Congo, Mbwana Samatta anatarajiwa kupongezwa na kuagwa rasmi na
mashabiki wake leo ndani...



Naibu waziri Wizara ya Kazi Vijana na Ajira Anthony Mavunde ( wa pili kushoto) akiwa na Mkurugenzi mkuu wa Airtel Bw, Sunil Colaso,akifatiwa na Mshauri wa Airtel Fursa, Eng George Mulamula kwa pamoja wakionyesha bango kuashiria uzinduzi wa Mradi wa Airtel Fursa msimu wa pili. Akishuhudia (kushoto) ni Mkurugenzi wa mawasiliano wa Airtel, Bi Beatrice Singano...
Sunday, January 10, 2016



Waziri
wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo,Mh.Nnape Nnauye akiwa katika picha
ya pamoja na na baadhi ya Wakuu wa Idara ya Habari Maelezo na Wahariri
kutoka vyombo mbalimbali vya habari mapema leo,alipokutana nao na
kujadili changamoto mbalimbali zinazoikabiri tasnia hiyo,mkutano huo
umefanyika kwenye moja ya ukumbi ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar.
...



Msafara
wa magari uliokuwa umembeba Mshindi wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Afrika
wa Wachezaji wa Ndani 2015, Mbwana Samata,ulionaswa na Camera ya Globu
ya jamii maeneo ya Morocco jana jioni ukitokea hoteli ya Kempinsk baada
ya kuzungumza na vyombo vya habari,Msafara huo akiwemo Waziri wa
Habari,Utamaduni Sanaa na Michezo Mh.Nape Nnauye ulipita maeneo kadhaa
ya jiji la Dar na kukomea katika...


Benzema
alimalizia mpira uliomshinda Ronaldo na kufunga dakika ya 90 na
mtanange kumalizika kwa bao 5-0 Real wakiibuka kidedea na kumwanzishia
ushindi mnono meneja mpya Zinedine Zidane leo hii.
Kipindi cha pili dakika ya 49 Bale akapachika bao la tatu na kufanya matokeo kuwa 3-0 dhidi ya Deportivo L Coruna.
Benzema Dakika ya 15 na Bale dakika ya 22 tayari wameshaziona nyavu kipindi cha...


Rooney akipiga penati na kumfunga kipa wa Sheffield United.
BAO la Penati ya Dakika ya 93
iliyofungwa na Kepteni Wayne Rooney imewaingiza Manchester United Raundi
ya 4 ya FA CUP walipoitungua Timu ya Daraja la chini Sheffield United
1-0 Uwanjani Old Trafford.Penati
hiyo ilitolewa katika Dakika ya 92 baada ya Memphis Depay, alieingizwa
Kipindi cha Pili na kuleta uhai mkubwa kwenye mashambulizi,...


Mbele ya Mashabiki 70,720, Barcelona iliinyuka Granada
Bao 4-0 kwa Bao 3 za Lionel Messi na 1 la Neymar, na kuchukua uongozi wa
La Liga.
DAKIKA ya 58 kipindi cha pili dakika ya
58 na bao la nne lilifungwa na Staa mwingine Neymar dakika ya 83 na
mtanange kumalizika 4-0 dhidi ya Granada. Lionel
Messi kafunga yote mawili katika kipindi cha kwanza, Akifunga bao la
kwanza dakika ya 8 na bao...


BAO za Arsenal zimefungwa na Joel
Campbell dakika ya 25, Aaron Ramsey dakika ya 72 na lile la Olivier
Giroud dakika ya 75 na mtanange kumalizika kwa bao 3-1 dhidi ya
Sunderland. BAO la Sunderland limefungwa na Jeremain Lens dakika ya 171-1 na mpira kwenda mapumziko
Soma Zaidi Hapa...
Subscribe to:
Posts (Atom)