Kipindi cha pili dakika 55 Mchezaji wa Olympiakos Joel Campbell akaiongezea bao la pili timu yake kwa kufanya 2-0 dhidi ya United baada ya mabeki wa United kufanya makosa ya ukabaji na hatimaye Joel Campbell kufunga bao hilo kwa kupewa pasi safi na Michael Olaitan.
Baada ya kufungwa bao la pili United, Dakika ya 60 kipindi cha pili wamefanya mabadiliko Shinji Kagawa akaingia kuchukua nafasi ya Tom Cleverley na huku Danny Welbeck akichukua nafasi ya Antonio Valencia.
0 maoni:
Post a Comment