Maruane
Fellaini ameondeshwa kadi nyekundu baada ya kumpiga kichwa mchezaji wa
City Kun Aguero huku akiwa na kadi ya njano kipindi cha pili. Pia mchezo
huo uliomalizika bila ya kufungana kwa kutoka 0-0 umekuwa ni afueni kwa
Man United kwa kuendeleza mechi nyingi bila kufungwa msimu huu. Na huku
wakionekana kupanda kujihakikishia kuwa kwenye nafasi ya kugombea
nafasi ya nne bora ili kucheza...
Thursday, April 27, 2017
Sunday, April 23, 2017



Baada ya kuondolewa katika michuano ya UEFA Champions League kwa timu ya FC Barcelona usiku wa April 23 2017 walisafiri hadi katika jiji la Madrid kuendeleza harakati zao za kuwania Kombe la LaLiga kwa kucheza dhidi ya wapinzania wao wa jadi Real Madrid katika uwanja wa Santiago Bernabeu.
Mastaa wa zamani wa Real Madrid Ronaldo de Lima na Luis...
Thursday, April 6, 2017


Premier League
PosLogo &TeamPWDLGDPts
1Chelsea3023343872
2Tottenham Hotspur3019833865
3Liverpool3117952760
4Manchester City3017762358
5Arsenal2916672554
6Manchester United29141231954
7Everton3114981951
8West Bromwich Albion3112811-144
9Southampton2910712-137
10Watford3010713-1237
11Leicester City3010614-1036
12Stoke City319913-1236
13Bournemouth319814-1235
14Burnley3110516-1235
15West...
Wednesday, April 5, 2017


Uongozi wa Yanga umeweka bayana kwamba hauna mpango wa kumzuia mchezaji yeyote kuondoka iwapo atahitaji kuihama klabu hiyo
Mabingwa watetezi Ligi Kuu Bara, Yanga SC ambao ndio wanaoongoza
kwenye msimamo wa ligi msimu huu kwa tofauti ya pointi moja dhidi ya
mahasimu wao Simba huku kila timu ikibakiwa na mechi tano kumalizika,
wamtamka kuwa mchezaji yeyote anayetaka...
Tuesday, April 4, 2017


EPL RATIBAJumanne Aprili 4 2145 Burnley v Stoke City 2145 Leicester City v Sunderland 2145 Watford v West Bromwich Albion 2200 Manchester United v Everton MANCHESTER
UNITED Jumanne Usiku wako kwao Old Trafford kucheza na Everton kwenye
Mechi ya EPL, Ligi Kuu England, ambayo hiyo na ile inayufuatia Wikiendi
inayokuja dhidi ya Sunderland ndiyo itatoa...



Wanasayansi wa Chuo Kikuu cha Ghent nchini Ubelgiji wamegundua njia mpya ya kutengeneza mafuta ya kuendeshea gari kwa kutumia majani ‘Biofuel’ ambapo kwa mujibu wa wanasayansi hao, majani yana uwezo wa kutengeneza kiwango kikubwa cha ‘decane’ ambacho hutumika katika kuzalisha mafuta.
Akizungumza na Science Daily, Professa Way...
Monday, April 3, 2017



Moja kati ya majina yaliojipatia umaarufu na heshima kubwa katika soka ni Zinedine Zidane na Ronaldinho ambao uwezo wao umeifanya dunia ya soka kutokusahau mchango wao, Zidane ni mahiri katika kucheza mpira na kufanyia mbwembwe kama ilivyo kwa Ronaldinho.
Naomba nikusogezee video yao kila mmoja akionesha uwezo wake katika
soka, mtu wangu wa...



Leo April 3 kupitia kipindi cha XXL cha Clouds FM mtangazaji Soudy Brown katuletea U-heard inayomhusu msanii Nay wa Mitego kudaiwa
kuvunja uchumba wa shabiki yake kutokana na shabiki huyo kuchora tatoo
ya Nay wa Mitego. Ndugu wa mchumba aliyekuwa akitarajia kumuoa dada huyo
walikataa baada ya kuona tatoo ya Nay wa Mitego kwake.
Soudy Brown...
Friday, March 31, 2017


TANGU
wafungwe 4-0 na Chelsea huko Stamford Bridge hapo Oktoba 23, Manchester
United imekuwa Timu pekee ‘Isiyofungika’ kwenye EPL, Ligi Kuu England,
ikimaliza zaidi ya Miezi 5 bila kufungwa zikiwa ni mbio za Mechi 18. Licha
kusakamwa na Mechi kedekede wakiwa Timu pekee wenye Mechi nyingi kupita
yeyote huko England, Jose Mourinho ameongoza Kikosi hicho kwa ufanisi
mkubwa na kuwawezesha...



VPL,
LIGI KUU VODACOM, inarejea tena kwa kishindo Jumamosi hii Aprili Mosi
kwa Mechi 3 na kubwa kabisa ni ile itayopigwa Uwanja wa Taifa Jijini Dar
es Salaam kati ya Mabingwa Watetezi Yanga na Timu ngumu Azam FC. Hakika
Mechi hii ni Bigi Mechi na itatoa mwanga mkubwa kama kweli Yanga
wanaweza kutetea Ubingwa wao hasa kwa vile wapo Nafasi ya Pili wakiwa
Pointi 2 nyuma ya Vinara Simba huku...



Kiungo wa kimataifa wa Hispania anayeichezea Man United ya England Juan Mata jina lake limerudi kwenye headlines baada ya kufanyiwa upasuaji wa groin, Mata ambaye mwanzoni mwa wiki hii alikuwa akilalamika mazoezini kuwa anasumbuliwa na groin amefanyiwa upasuaji.
Taarifa zilizotoka usiku wa March 31 2017 kuhusu kiungo huyo ni kuwa
upasuaji wake...
Wednesday, March 22, 2017



Sir
Alex Ferguson atarudi tena Old Trafford kwenye Benchi wakati wa Mechi
ya Kumtukuza Kiungo wa Manchester United Michael Carrick kwa Utumishi
Ulitukuka wa muda mrefu Klabuni hapo. Ferguson, aliestaafu Umeneja
Mwaka 2013 baada ya kuitumikia Man United kwa Miaka 27, ataongoza moja
ya Timu katika Mechi hiyo Maalum. Timu atakayoongoza Sir Alex
Ferguson itaitwa Manchester United 2008 XI na...
Friday, March 17, 2017


Juan Mata(kushoto) akipongezwa na wenzake kwa bao lake la pekee katika mchezo huo wa marudiano.cha
pili dakika ya 70 Juan Mata aliwafungia Man United bao na kubadilisha
matokeo ya awali na kuwa (2-1 kwenye Agg.) Hku katika Mchezo huo wa
raundi ya 16 Man United wakimbadilisha Paul Pogba dakika ya 48 aliyeumia
na kuondolewa na nafasi yake kuchukuliwa na Fellaini. Manchester United
pia walimbadilisha...
Subscribe to:
Posts (Atom)