Msanii
Tekno Miles (wa kwanza kushoto) akizungumza na waandishi wa habari
(hawapo pichani) wakati wa hafla iliyomtambulisha rasmi kwa waandishi wa
habari iliyofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam.
Msanii huyo anatarajiwa kuburudisha katika Tamasha la mwisho la “Grown
and Sexy, the Gold finale” litakalofanyika katika ukumbi wa King Solomon
uliopo Namanga karibu na...
Thursday, December 31, 2015


JANA
Meneja wa Liverpool Jurgen Klopp ilibidi atulizwe munkari na Polisi ya
kumpandishia Meneja mwenzake wa Sunderland Sam Allardyce wakati wa Mechi
ya Ligi Kuu England Uwanjani Stadium of Light.
Klopp alipandwa na jazba wakati Jeremiah Lens wa Sunderland alipomchezea rafu mbaya Beki wa Liverpool Mamadou Sakho. Wakati huo Liverpool walikuwa tayari washafunga Bao lao pekee na la ushindi kupitia...


ENGLAND
imeanika Listi ya Wagombea wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka kwa Nchi
yao ambapo pia ipo Tuzo kwa Chipukizi Vijana wa chini wa Miaka 21, U-21.
Kepteni wa England, Wayne Rooney, ambae alishinda Tuzo hiyo Mwaka Jana, ni miongoni mwa Wachezaji Watano wanaogombea. Rooney
Mwaka huu aliiongoza England kufuzu kuingia Fainali za...


Ronaldo akishangilia moja ya bao lakeLeo
La Liga imerejea tena na ndani ya Santiago Bernabeu, Mchezaji Bora
Duniani Cristiano Ronaldo aliiongoza Real Madrid kuichapa Real Sociedad
Bao 3-1 na kuongoza Ligi hii ya Spain pengine kwa muda tu hadi baadae
Usiku huu. Ronaldo alikosa kuipa Real Bao wakati walipopewa Penati
na yeye kuipaisha juu lakini Dakika ya 42 wakapata Penati nyingine...
Wednesday, December 30, 2015



LA LIGA RATIBAJumatano Desemba 30 18:00 Real Madrid CF v Real Sociedad 18:00 Levante v Malaga CF 20:15 Rayo Vallecano v Atletico de Madrid 20:15 Sevilla FC v RCD Espanyol 20:30 SD Eibar v Sporting Gijon 22:30 FC Barcelona v Real Betis 22:30 Celta de Vigo v Athletic de Bilbao 22:30 Getafe CF v Deportivo La Coruna 23:00 Las Palmas v Granada CF Alhamisi Desemba 31 18:00 Villarreal CF v Valencia...


Barclays Premier League
PosLogo &TeamPWDLGDPts
1Arsenal1912341539
2Leicester City1911621239
3Manchester City1911351736
4Tottenham Hotspur199821835
5Crystal Palace19946731
6Manchester United19865630
7West Ham United19784529
8Watford19856429
9Stoke City19856129
10Liverpool18765-127
11Everton19685726
12Southampton19667324
13West Bromwich Albion19658-623
14Chelsea19559-620
15Norwich...



MARA
baada ya Jumatatu Usiku kutoka Sare 0-0 na Mabingwa Watetezi Chelsea
Uwanjani Old Trafford na kusitisha wimbi la kufungwa Mechi 4 mfululizo,
Meneja wa Manchester United Louis van Gaal aliibuka na kutamba hana
mipango ya kujiuzulu. Baada ya kuchapwa 2-0 na Stoke City Siku ya
Boksing Dei, Man United waliibuka na kusakata Soka safi na kustahili
kuifunga Chelsea lakini, kama kawaida,...



Patashika
za Ligi Kuu England kuendelea tena leo, Kuna Mechi moja pekee ambayo
itaamua nani anamaliza 2015 akiwa anaongoza Ligi.
Jana, Arsenal
iliichapa Bournemouth 2-0 na kutwaa uongozi wa Ligi wakiwa na Pointi 39
kwa Mechi 19 wakifuata Leicester wenye Pointi 38 kwa Mechi 18, Tottenham
ni wa 3 na wana Pointi 35 kwa Mechi 19 na wa 4 ni Man City wenye Pointi
35 kwa Mechi 18. Leo huko King Power...


Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015
na kuingia mwaka mpya 2016 moja kati ya mitandao inayoandika stori za
michezo duniani imeandika TOP ya wachezaji bora wakali wa Ligi Kuu
Uingereza. Mtandao wa bleacherreport.com umeandika list ya wachezaji 20 wakali wa Ligi Kuu Uingereza kwa mwaka 2015.
Hii ndio list ya majina yote 20 mtu wangu.
David...
Monday, December 28, 2015



Waziri
Wizara ya Maliasili na Utalii Mhe. Prof. Jumanne Maghembe (mbele
kulia) akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Selestine
Gesimba wakati wa mapokezi yake leo tarehe 28 Desemba 2015 katika ofisi
yake mpya Mpingo House mara baada ya kuapishwa Ikulu mapema asubuhi ya
leo. Nyuma yake kulia ni naibu Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Eng. Ramo
Makani...
Subscribe to:
Posts (Atom)