BAO l kwanza la Arsenal limefungwa na Mesut Özil kipindi cha kwanza dakika ya 29 na Alexis Sánchez akaifungisia bao la pili dakika ya 33 baada ya kuongeza Mashambulizi kwenye lango la Timu ya Dinamo Zagreb na kuwabana kwa kubaki wakishangaa katika kipindi hicho cha kwanza.
Wednesday, November 25, 2015


BAO l kwanza la Arsenal limefungwa na Mesut Özil kipindi cha kwanza dakika ya 29 na Alexis Sánchez akaifungisia bao la pili dakika ya 33 baada ya kuongeza Mashambulizi kwenye lango la Timu ya Dinamo Zagreb na kuwabana kwa kubaki wakishangaa katika kipindi hicho cha kwanza.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 maoni:
Post a Comment