Ligi kuu ya Ujerumani maarufu kama Bundesliga imeanza rasmi leo kwa mabingwa watetezi wa ligi hiyo FC Bayern Munich kuwakaribisha Hamburg katika dimba la Alianz Arena.
Wakicheza mchezo wa kuvutia na wa kasi FC Bayern wameibuka na ushindi wa magoli 5-0.
Beki wa Kimorocco Mehd Benatia alianza kuifungia Bayern goli katika dakika ya 27 ya mchezo kabla ya Robert Lewandoski kuongeza la pili katika dakika ya 53.
0 maoni:
Post a Comment