WENYEJI
Chile wametinga fainali ya Copa America 2015 kufuatia ushindi wa mabao
2-1 dhidi ya Peru usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Taifa mjini Santiago:
Kwa ushindi huo, fainali Chile sasa itakutana na mshindi kati ya Argentina na Paraguay zinazomenyana usiku wa kuamkia kesho.
Eduardo Vargas aliifungia bao la kwanza akimalizia krosi ya Alexis Sanchez dakika ya 42.
Carlos Zambrano alitolewa...
Monday, June 29, 2015


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,
ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea akizungumza na wanamichezo
(hawapo pichani) kabla ya kuanza fainali ya Kombe la Chikawe katika
Uwanja wa Sokoine, mjini Nachingwea. Timu ya Black Fire kutoka Kata ya
Marambo na Timu ya Motisha kutoka Kata ya Kilimanihewa zilipambana na
Timu ya Black Fire iliibuka mshindi kwa magoli 3...


Baadhi
ya Wanamichezo wa Polisi walioshiriki Michezo ya Wakuu wa Majeshi ya
Polisi kusini mwa Afrika mwaka 2013 nchini Namibia wakiwa katika picha.
Timu za Jeshi la Polisi Tanzania
zitakazoshiriki michezo ya Umoja wa Wakuu wa Majeshi ya Polisi kwa nchi
za kusini mwa Afrika (SARPCCO), mwishoni mwa mwezi julai nchini
Swaziland...
Sunday, June 28, 2015


Morgan
Schneiderlin atakuwa ni wa pili kusajiliwa na klabu ya Manchester
United Msimu 2015/2016 na atajiunga na Mashetani wekundu wiki ijayo
Jumatano Dirsha la Usajili litakapofunguliwa rasmi. Manchester
United wamekamilisha usajili huo kwa kutoa kitita cha £25million kwa
Morgan Schneiderlin – na taarifa zaidi kutoka Klabuni humo zinadai kuwa
usajili unaendelea na ambao wamewaweka...


Mshambuliaji Samuel Eto’o amejiunga na klabu ndogo ya Antalyaspor iliyopanda kucheza Ligi Kuu ya Uturuki msimu huu. Makao makuu ya klabu hiyo ni mji wa Antalya ambao Yanga iliwahi kuweka kambi miaka miwili iliyopita. Kabla
ya kutua hapo, Eto’o amewahi kuichezea klabu ya FC Barcelona ya
Hispania, kabla ya Inter Milan ya Italia, Chelsea ya England na Everton
ya England....


Paraguay
wameifunga Brazil usiku huu kwa Mikwaju ya Penati (3-4) kwenye Michezo
ya Copa America na Sasa kukutana uso kwa Uso na Argentina Nusu
Fainali.Robinho
akishangilia bao lake la dakika ya 15 kipindi cha kwanza kwa kuipatia
bao 1-0 dhidi ya Paraguay baada ya kupata pasi safi kama kona kutoka kwa
Dani Alves.
Mpaka mapumziko Brazil ilikuwa ikiongoza kwa bao 1-0 dhidi ya Paraguay....


HUKU
ikishuhudiwa na wachezaji wake wa kigeni Donaldo Ngoma na Joseph
Tetteh Zutah waliowasili Dar es Salaam leo, Yanga ilijukuta ikitoka sare
ya bila kufungana na Sports Club Villa ya Uganda kwenye mchezo wa
kirafiki uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Kwenye
mechi hiyo maalumu kwa ajili ya kupinga mauji ya albino na mgeni rasmi
kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam...
Saturday, June 27, 2015



Mwenyekiti
wa Chadema Jimbo la Moshi vijijini,Godlisen Maramia akipokea fomu
kutoka kwa Deogratius Mushi ya kuwania nafasi ya Ubunge katika jimbo la
Moshi vijijini wakati liporudisha katika ofisi za chama hicho zilizopo
Majengo.
Mwenyekiti
wa Chadema jimbo la Moshi vijijini ,Godlisen Maramia akimpongeza mtia
nia Deuogratius Mushi kwa uamuzi wa kuingia katika kinya'ng'anyiri...


Mashindano
ya Kombe la Meya Shinyanga 2015 (Pepsi Meya Cup 2015) yamezinduliwa
rasmi leo na mkuu wa wilaya ya Shinyanga ndugu Josephine Matiro katika
viwanja vya Shycom mjini Shinyanga.
Mashindano
hayo ambayo yameandaliwa na mstahiki meya wa manispaa ya Shinyanga
Gulam Hafidh Mukadam na kudhaminiwa na kampuni ya Vinywaji baridi ya
Pepsi (SBC Tanzania Ltd) yanashirikisha...
Subscribe to:
Posts (Atom)