Mabingwa wa Italy, Juventus, wakiwa kwao Juventus Arena Jijini Turin Nchini Italy, wameanza vyema Nusu Fainali ya UEFA CHAMPIONS LIGI walipowafunga Mabingwa Watetezi Real Madrid Bao 2-1.
Hadi Haftaimu Magoli yalikuwa 1-1.
Tevez alifunga Penati hiyo na Juve kutangulia 2-1.
Tevez akisonga na mpira
Timu hizi zitarudiana tena Mei 13 huko Jijini Madrid Uwanjani Santiago Bernabeu.
RSS Feed
Twitter
6:08 AM
Unknown
0 maoni:
Post a Comment