Mkurugenzi
wa Biashara Zanzibar Nd. Mohamed Baucha wa kulia akimkabidhi Tunzo ya
Video bora ya mwaka muziki wa kizazi kipya Nassir Hassan (Vanila) mara
baada ya kuibuka mshindi, tunzo hizo zimeandaliwa na Kampuni ya Zanzibar
Media Corporation LTD katika hafla iliyofanyika ukumbi wa Salama Hall
Bwawani Mjini Zanzibar. Mwanamitindo marufu wa Zanzibar Farouk Abdillahi… Mkurugenzi
wa Biashara...
Saturday, February 28, 2015


Mwenyekiti wa Tanzania Bloggers Network (TBN) na mmiliki wa Blog ya
The Habari.com Joachim Mushi (katikati) akizungumza wakati wa mkutano na
waandishi. Kutoka kushoto ni mjumbe wa TBN Mkala Fundikira, Afisa wa
kampuni ya mawasiliano na matangazo ya AIMS, Shafiq Mpanja wa AIM, Ofisa
Uhusiano wa NMB Doris Kilale na mjumbe wa TBN Khadija Kalili. Katika
mkutano huo TBN imesema kesho...


Kepteni wa Manchester United Wayne
Rooney akiteta jambo na Jonny Evans juu ya Mchezo huo ambao wote
wamepeana hamasa ya kuibuka na Ushindi kesho dhidi ya Sunderland.
Radamel Falcao akijifua kwenye Uwanja wa Carrington, Manchester United
wakijiandaa kuikaribisha Sunderland ngland, Premier League mchezo
utakaopigwa kwenye Uwanja wa Old Trafford
Meneja...
Friday, February 27, 2015
Thursday, February 26, 2015


Mwenyekiti
Mtendaji wa kampuni ya Forward Formidable Enterprises (FFE) inayoandaa
tamthilia mpya na ya kisasa ya “A boys mission” Johnson Lujwangana
akifafanua jambo kuhusiana na tamthilia hiyo itakayoanza kurushwa kwenye
vituo vya televisheni kuanzia mwezi septemba. Wengine katika picha
kutoka kulia ni Jesca haule na Aisha bakari.
Mwenyekiti
Mtendaji wa kampuni...


Miss Universe Tanzania 2014-2015 Nale Boniface akikata keki na wanafunzi wenye matatizo ya Ngozi (ALBINO) wakati alipotembelea kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji cha Salvatrion Arm jijini Dar es Salaam ikiwa ni madhimisho ya siku yake ya kuzaliwa ambapo aliamua kuwapelekea zawadi watoto hao.
Miss Universe Tanzania 2014-2015 Nale Boniface akiwalisha ...
Wednesday, February 25, 2015


2-0 Bao la pili la As Monaco lilifungwa na Berbatov dakika ya 53 na kuwaacha Arsenal wakiduwaa.2-0Emirates!!Ooops ..3-1Watajutaa!!
Muuaji wa bao la tatu Yannick Ferreira Carrasco. Kipa wa Arsenal David Ospina akiwa hoi baada ya kushonwa baoFuraha ya Ushindi Ugenini!! 3-1Kiongozi Prince Albert akishangilia Ushindi mwishoni!! Baada ya timu ya As Monaco kuitoa kamasi Arsenal.Olivier...
Subscribe to:
Posts (Atom)