Friday, January 31, 2014

Cricket | International Andy Flower Andy Flower imekuwa axed kama Kocha wa England zifuatazo timu ya hivi karibuni majivu drubbing katika Australia, gazeti Uingereza Daily Telegraph taarifa juu ya Ijumaa. Kwa mujibu wa Telegraph, aliyekuwa Zimbabwe kimataifa Flower aliambiwa wakati wake ulikuwa hadi wakati wa mkutano wa Bwana juu ya Alhamisi na Paulo Downton, Uingereza...
Rugby | Mataifa sita mpya SuperSport Club sasa imekuwa ilizindua juu ya SuperBru, kuwezesha sisi kutoa kwa undani michezo kuhusika kwa kuendesha predictor zaidi na fantasy michezo. Misimu yote mpya na mashindano kwamba kuanza katika 2014 sehemu ya SuperSport Club. Juu ya wiki na miezi ijayo, utakuwa na uwezo wa kushiriki katika Super Rugby, Varsity Cup,...
  Marya (left) and Avril (right) are some of the artistes who have been dropped from the label. PHOTO| FILE One of the most successful Kenyan music production houses, Ogopa DJs, is on fire. Sources told Off the Hook that the stable has allegedly refused to renew all contracts for its artistes. Among the artistes affected are Mustapha, Kenzo, Avril, Marya and Trapee. It is still...
Wajumbe wa upinzani katika mazungumzo ya amani nchini Syria mjini Geneva Awamu ya kwanza ya mazungumzo ya amani ya Syria itakamilika hii leo mjini Geneva, bila ishara ya mafanikio lakini kuna 'matumaini'...
   Marehemu Masoud Mohamed MC D enzi za uhai wake. Marehemu Masoud Mohamed maarufu kama MC D mpiga tumba wa Bendi ya Twanga Pepeta amezikwa leo Saa Saba katika Makaburi ya Njoro yaliyopo Moshi Mkoani Kilimanjaro. Katika Mazishi ya Mwanamuziki huyo wadau mbalimbali wa muziki wa Dansi waliungana pamoja kumsindikiza MC D katika safari yake ya Mwisho. Marehemu MC D alifariki...
...

Thursday, January 30, 2014

     Hii ni nyumba aliyokuwa anaishi Babu enzi za ka...
.  Mitambo Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha  Adam Kigoma Malima alifanya ziara ya siku mbili mkoani Kagera na kukagua miradi ya ujenzi wa vituo vya umoja wa  ushuru na forodha (One Stop Border Post)Rusumo na Mtukula  na ujenzi  wa daraja la Kimataifa la Rusumo kati ya Tanzania na Rwanda. Naibu Waziri Adam Malima  alifanya ziara hiyo mkoani Kagera kuanzia tarehe...
Zuwena Mohamed ‘Shilole’ akiwa na mchumba wake. Chanzo makini kimepenyeza habari kuwa, safari za mara kwa mara za Shilole nchini Uingereza zimekuwa zikisababishwa na mchumba huyo wa Kizungu ambaye huwa anamuita kufurahia penzi lao pamoja na kumtafutia shoo mbalimbali. “Ukweli ni kwamba Shilole ana mchumba wa Kizungu na walikutana kwenye shoo ya mara ya kwanza aliyoenda kufanya nchini Uingereza...
...
 MENEJA wa klabu ya Chelsea, Jose Mourinho ameponda aina ya uchezaji wa timu ya West Ham United na kudai kuwa ni wa karne ya 19 kufuatia timu yake kutoa sare ya bila ya kufungana katika Uwanja wa Stamford Bridge. Chelsea walifanya kila wanaloweza kuhakikisha wanapenya ngome ya West Ham wanaonolewa na Sam Allardyce lakini walishindwa na kujikuta wakigaana alama hivy kushindwa kuwafikia...
  Julian Draxler: The €30million man?Welcome with open arms: Newcastle are in the chase for Clement Grenier Seal the deal? Yevhen Konoplyanka is Liverpool's chief targetDani Osvaldo: Is the Saints striker on his way to Juventus?Mirko Vucinic: is he Gunner join Arsenal? Is Kurt Zouma heading to Chelsea?        ...

waliotembelea blog