Friday, January 10, 2014

 

 Hii ni habari mbaya kwa Taifa lenye sifa ya Amani Tanzania watu wake wamegeuka wanyama na kuchukua maamuzi mikononi.Jana asubuhi bus la kampuni ya Mtei toka Arusha limechomwa moto maeneo ya Njia panda mnadani singida baada ya bus ilo kugonga pikipiki yani bodaboda na kuua watu watatu Hapohapo.

  

RATIBA:
Jumamosi Januari 11

15:45 Hull City  v Chelsea
18:00 Cardiff City v West Ham
18:00 Everton v Norwich
18:00 Fulham v Sunderland
18:00 Southampton v West Brom
18:00 Tottenham v Crystal Palace
20:30 Manchester United v Swansea

Jumapili Januari 12
17:05 Newcastle V Man City
19:10 Stoke V Liverpool

Jumatatu Januari 13
23:00 Aston Villa V Arsenal

MSIMAMO ULIVYO KWA SASA.
2013-2014 Barclays Premier League Table
  Overall
Home
Away
 
POS
TEAMPWDLFA
WDLFA
WDLFA
GDPts
1 Arsenal 20 14 3 3 39 18
7 2 1 18 6
7 1 2 21 12
21 45
2 Manchester City 20 14 2 4 57 23
10 0 0 38 6
4 2 4 19 17
34 44
3 Chelsea 20 13 4 3 38 19
9 1 0 22 8
4 3 3 16 11
19 43
4 Liverpool 20 12 3 5 46 23
9 0 1 27 6
3 3 4 19 17
23 39
5 Everton 20 10 8 2 32 19
6 3 1 19 9
4 5 1 13 10
13 38
6 Tottenham Hotspur 20 11 4 5 24 25
4 3 3 11 13
7 1 2 13 12
-1 37
7 Manchester United 20 10 4 6 33 24
4 2 4 12 10
6 2 2 21 14
9 34
8 Newcastle United 20 10 3 7 29 25
5 3 2 17 10
5 0 5 12 15
4 33
9 Southampton 20 7 6 7 26 23
4 3 3 16 12
3 3 4 10 11
3 27
10 Hull City 20 6 5 9 22 25
5 3 2 15 6
1 2 7 7 19
-3 23
11 Aston Villa 20 6 5 9 19 25
2 2 6 7 14
4 3 3 12 11
-6 23
12 Stoke City 20 5 7 8 19 30
4 5 1 11 7
1 2 7 8 23
-11 22
13 Swansea City 20 5 6 9 26 28
2 4 4 18 17
3 2 5 8 11
-2 21
14 West Bromwich Albion 20 4 9 7 23 27
3 3 4 12 12
1 6 3 11 15
-4 21
15 Norwich City 20 5 5 10 17 33
3 3 4 10 11
2 2 6 7 22
-16 20
16 Fulham 20 6 1 13 21 42
3 1 6 13 18
3 0 7 8 24
-21 19
17 Cardiff City 20 4 6 10 15 32
3 3 4 10 15
1 3 6 5 17
-17 18
18 Crystal Palace 20 5 2 13 13 29
3 2 5 8 14
2 0 8 5 15
-16 17
19 West Ham United 20 3 6 11 19 30
2 3 5 12 16
1 3 6 7 14
-11 15
20 Sunderland 20 3 5 12 15 33
2 1 7 10 17
1 4 5 5 16
-18 14

Thursday, January 9, 2014


Manchester City wakiwa kwao Etihad kucheza na West Ham katika Ligi ya Capital One Cup wameanza kupata bao lao dakika ya 12, Bao likifungwa na Álvaro Negredo na kufanya 1-0 dhidi ya West Ham United.Dakika ya 26  Álvaro Negredo anapewa pasi safi na kukimbia na mpira na kuifungia tena Manchester City bao la pili.
Dakika ya 40 Yaya Toure akaongeza bao la tatu na kufanya 3-0 dhidi ya West Ham. Manchester City walienda mapumziko wakiwa wanaongoza bao 3-0. 
Kipindi cha pili dakika ya 49 Álvaro Negredo akafunga bao lake la tatu na kufanya Man City kufikisha bao 4-0. Bao la tano lilifungwa na Dzeko dakika ya 60 kwa kuusindikiza mpira ndani ya lango la
West Ham. Dakika za lala salama ya 89 Dzeko akatupia bao la 6 na kuwamaliza zaidi nguvu West Ham United na mpira kumalizika.




Mashabiki wa City wakishangilia kwa raha zao Etihad!!! Poznan........
Ushindi huu wa City ni kama tayari wamekwisha chungulia hatua inayofuata maana hata marudiano yao na West Ham kwao hapo januari 21West Ham kubadilisha matokeo ni ndoto au miujiza!!
On strike: Toure scores City's third goal of the game on their way to the semi-final rout
 
 
Familiar sight: Carlton Cole (left) and Matthew Taylor look dejected as they are forced to kick off once again
 
Back in the action: Eden Dzeko rounded off the rout to further consign West Ham's misery
 
Man in the middle: Referee Jonathan Moss took a tumble after he slipped in the first halfBalaa! Mwamuzi Jonathan Moss alianguka kipindi cha kwanza Etihad.........
 

CAPITAL ONE CUP
NUSU FAINALI:RATIBA/MATOKEO:
[Saa 4 Dakika 45 Usiku]
Jumanne Januari 7

Sunderland 2 v Manchester United 1
Jumatano Januari 8
Manchester City 6 v West Ham United 0

Marudiano
Jumanne Januari 21

West Ham United v Manchester City
Jumatano Januari 22
Manchester United v Sunderland

Wednesday, January 8, 2014


Leo zipo Mechi nyingine kadhaa za Kwanza za Raundi ya Mtoano ya Timu 16 ikiwa pamoja na ile ya Mabingwa wa Spain Barcelona wakiwa kwao Nou Camp kucheza na Getafe huku Duniani ikitarajia kumuona Nyota Lionel Messi akirejea dimbani baada kuwa Majeruhi kwa Miezi miwili.
 
Valencia jana walifanikiwa kutoka Sare ya Bao 1-1 na Mabingwa Watetezi wa Copa del Rey Atletico Madrid katika Mechi ya Kwanza ya Raundi ya Mtoano ya Timu 16 iliyochezwa Nyumbani kwa Valencia.
Timu hizi zitarudiana hapo Januari 14 huko Vicente Calderon Nyumbani kwa Atletico Madrid.
Bao la Atletico lilifungwa na Raul Garcia katika Dakika ya 72 na Valencia kusawazisha kwenye Dakika ya 90 kwa Bao la Helga Postiga.
Leo zipo Mechi nyingine kadhaa za Kwanza za Raundi ya Mtoano ya Timu 16 ikiwa pamoja na ile ya Mabingwa wa Spain Barcelona wakiwa kwao Nou Camp kucheza na Getafe huku Duniani ikitarajia kumuona Nyota Lionel Messi akirejea dimbani baada kuwa Majeruhi kwa Miezi miwili.
 
 
VIKOSI:
Valencia: Guaita; Guardado, Mathieu, Costa, Pereira; Fuego, Parejo; Bernat (Canales 73'), Míchel (Feghouli 63'), Fede (Piatti 77'); Postiga.
Goals: Postiga (93').
Atlético Madrid: Courtois; Felipe Luis, Alderweireld, Miranda, Juanfran; García, Gabi, Guilavogui (Arda 59'), Koke (Tiago 81'); Diego Costa, Adrián (Rodríguez 67').
Goals: García (72').

COPA del REY
Raundi ya Mtoano ya Timu 16
RATIBA/MATOKEO:
Jumanne Januari 7
Valencia 1 v Atletico de Madrid 1
Jumatano Januari 8
22:00 Real Betis v Athletic de Bilbao
22:00 Alcorcon v RCD Espanyol
24:00 FC Barcelona v Getafe CF
24:00 Real Racing Santander v UD Almeria
Alhamisi Januari 9
21:30 Real Sociedad v Villarreal CF
23:30 Real Madrid CF v Osasuna
23:30 Rayo Vallecano v Levante
Jumanne Januari 14
21:30 UD Almeria v Real Racing Santander
23:30 Atletico de Madrid v Valencia
Jumatano Januari 15
21:30 Athletic de Bilbao v Real Betis
21:30 RCD Espanyol v Alcorcon
23:30 Osasuna v Real Madrid CF
23:30 Levante v Rayo Vallecano
Alhamisi Januari 16
22:00 Villarreal CF v Real Sociedad
24:00 Getafe CF v FC Barcelona


 
Dakika za nyongeza za kipindi cha kwanza 45+2 Giggs anafanya makosa anajifunga bao, Sunderland wanaenda mapumziko wakiwa mbele ya bao 1-0 dhidi ya Manchester United. Kipindi cha pili dakika ya 52 Nemanja Vidic anawasawazishia bao United kwa kufanya 1-1 baada ya kona kupigwa na Vidic kujituma kwa kufunga bao la kichwa. Dakika ya 65 United wanafungwa goli la pili kwa mkwaju wa penati wa utata na kufanya bao kuwa 2-1. mfungaji wa penati hiyo akiwa ni Fabio Borini. Ushindi huu wa Sunderland unawaweka pazuri wakija kurudiana huko Old Trafford mwezi huu  januari siku ya jumatano tarehe 22.
Up high: Nemanja Vidic powers his header past Vito Mannone to bring his side level
Nemanja Vidic akisawazisha bao na kufanya 1-1 hapa
 
 
 
 

Kocha wa Manchester United David Moyes akiwa amesimama kidete kuwaangalia vijana wake  
 
!. Subdued: Bryan Robson, Alex Ferguson and Bobby Charlton watch on in front of Anderson
 

N
 

 
 
Fabio Borini akichonga penati
 
 

VIKOSI:
Sunderland: Mannone, Bardsley, O'Shea, Brown, Alonso, Larsson, Cattermole, Ki, Borini, Fletcher (Altidore 72), Giaccherini (Johnson 56).
Subs: Gardner, Celustka, Colback, Ji, Dixon.

Booked: Bardsley, Giaccherini, Altidore.
Goal: Giggs, 45+2og, Borini 65pen
Man United: De Gea, Rafael Da Silva, Vidic, Evans (Smalling 61), Evra, Carrick, Cleverley (Fletcher 75), Valencia (Hernandez 87), Giggs, Januzaj, Welbeck.
Subs: Lindegaard, Kagawa, Buttner, Zaha.

Booked: Evra, Rafael, Smalling.
Goal: Vidic 52.
Referee: Andre Marriner


CAPITAL ONE CUP
NUSU FAINALI
[Saa 4 Dakika 45 Usiku]
Jumanne Januari 7

Sunderland 2 v Manchester United 1
Jumatano Januari 8
Manchester City v West Ham United
Marudiano
Jumanne Januari 21

West Ham United v Manchester City
Jumatano Januari 22
Manchester United v Sunderland

waliotembelea blog