NI Barcelona vs Bayern Munich na Juventus vs Real MadridIlivyokuwa huko Nyon Uswisi leo wakati wa droo ya UEFA general secretary Gianni Infantino.Itakuwa patashika nguo kuchanika hapa!!BARCELONA vs BAYERN MUNICH
JUVENTUS vs REAL MADRID
EUROPA LEAGUE..LIVE DRAW
SEVILLA vs FIORENTINA
NAPOLI vs DNIPRO
Albert Soler, Amador Bernabeu, Ludovic Giuly y Jordi Mestre forman la comitiva del Barça ...
Friday, April 24, 2015


ZURII HOUSE OF BEAUTY AND BONGO DEEJAYS PRESENT!!
Londons Rugby 7's After Party, Appearing Live, Bongo Flava recording
artist from Tanzania most famous for his song "Number One". Diamond
Platnumz will be preforming with his WCB dancers and special guests at
the Royal Regency Banquet Hall for one night only. THE ROYAL REGENCY 501 HIGH STREET NORTH MANOR PARK For Front Row V.I.P Tables...



VINARA
wa Ligi Kuu Vodacom, Yanga, Ijumaa wanaingia Uwanja wa Taifa, Dar es
Salaam kucheza na Ruvu Shooting wakijua ushindi Mechi hii na mwingine
hapo Jumatatu dhidi ya Polisi Moro utawapa Ubingwa huku wakiwa na Mechi 2
mkononi.Hivi sasa Yanga wako kileleni wakiwa na Pointi 49 kwa
Mechi 22 wakifuatiwa na Mabingwa Watetezi Azam FC wenye Pointi 42 kwa
Mechi 22 na Simba wapo Nafasi ya 3...


UROPA
LIGI, Mashindano makubwa ya pili kwa Klabu Barani Ulaya, Usiku huu
Alhamisi yamemaliza Mechi zake za Robo Fainali na Mabingwa Watetezi
Sevilla ya Spain, Dnipro Dnipropetrovsk ya Ukraine na Timu mbili za
Italy, Fiorentina na Napoli, zimefuzu kuingia Nusu Fainali.
FIORENTINA 2 vs 0 DYNAMO KIEVFiorentina
wamefuzu kuingia Nusu Fainali ya EUROPA LIGI baada ya kuitandika Dynamo
Kiev...
Thursday, April 23, 2015


Usiku
huu EUROPA LIGI watakamilisha Mechi zao za Marudiano za Robo Fainali na
Timu 4 Washindi zitaingizwa kwenye Droo ya kupanga Mechi za Nusu
Fainali ambayo pia ni huru bila kujali Utaifa. Mechi za Nusu Fainali za EUROPA LIGI zitachezwa Mei 7 na 14 ni Marudiano.
Kocha wa Napoli Rafael Benítez akiteta na Gökhan Inler MazoeziniKocha wa Napoli Rafael BenítezKocha
wa Napoli Rafael Benítez(kulia)...



Ijumaa
Aprili 24 Mchana huko Nyon, Uswisi kwenye Makao Makuu yao, UEFA
itaendesha Droo maalum za kupanga Mechi za Nusu Fainali za Mashindano
yao makubwa kwa Klabu za Ulaya yale ya UEFA CHAMPIONS LIGI na EUROPA
LIGI. Jana UEFA CHAMPIONS LIGI ilikamilisha Mechi zao za Marudiano za Robo Famili na Timu 4 zimetinga Nusu Fainali. Timu
hizo 4 ni Mabingwa Watetezi Real Madrid na wenzao wa Spain,...


Wachezaji wa Simba wakishangailia baada ya kupata bao.
Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akipokea mpira kutoka kwa mwamuzi,
Jacob Odongo kutoka Mkoa wa Mara baada ya kufunga 'hat trick' katika
mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara dhidi ya Mgambo Shooting mchezo
uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa.
Mshambuliaji
wa Simba, Emmanuel Okwi akimtoka beki wa Mgambo Shooting, Bashiru
Chanache...
Wednesday, April 22, 2015


Sina mbavu mieee nipisheeee!!! Chicharito baada ya kuizima Atletico Madrid usiku huu!Chicharito
akishangilia bao lake la pekee baada ya kuifungia na kuipa Ushindi Real
usiku huu dhidi ya Atletico Madria kwenye marudiano ya Klabu Bingwa
Ulaya. Bao hilo limewapeleka Real Madrid Nusu Fainali ya 31 na Droo ya
Nusu Fainali itachezeshwa Ijumaa ya wiki hii.Javier
Hernández aliwafungia bao Real...
Subscribe to:
Posts (Atom)