JUMAMOSI KESHO HAPATOSHI!! ARSENAL v MAN UNITED - VAN GAAL ATAJA KIKOSI CHAKE CHA KUIUA GUNNERS EMIRATES!! KIPA DE GEA NDANI!
Arsenal wataingia kwenye Mechi hii ya Jumamosi wakiwa Nafasi ya 6 Pointi 1 tu mbele ya Man United ambayo iko Nafasi ya 7.
Mara ya mwisho Arsenal kuifunga Man United ni Mei Mosi Mwaka 2011 Bao 1-0 Uwanjani Emirates kwenye Mechi ya Ligi na tangu wakati huo wamecheza Mechi 6 na kutoka Sare 2 tu na zote zilizobaki Man United kushinda ukiwemo ushindi wa kishindo wa Bao 8-2 hapo Tarehe 28 Agosti 2012.
RSS Feed
Twitter
10:44 PM
Unknown
0 maoni:
Post a Comment