Paris
St-Germain watatinga Mechi hii ya Nyumbani kwao ya Kundi F dhidi ya FC
Barcelona bila ya Straika wao mahiri Zlatan Ibrahimovic ambae ameumia
kifundo cha Mguu.
Katika Mechi za kwanza za Kundi lao, PSG ilitoka Sare na Ajax na Barcelona kuichapa Apoel Nicosia Bao 1-0.
Wakati
PSG hawajafungwa hata Mechi moja katika Mechi 9 Msimu huu, ingawa 6
kati yake ni suluhu, Barcelona wamekuwa...
Tuesday, September 30, 2014


Dakika
ya 15 Peter Crouch aliifungia bao la kwanza la kichwa na kuifanya
Stoke City kuwa mbele ya bao 1-0 dhidi ya Newcastle baada ya Victor
Moses kutoa krosi safi kwa Crouch ambaye ameunga kwa kichwa hadi langoni
mwa Newcastle.Kibarua mashakani kwa kocha Pardew!
Mpaka mapumziko Stoke ndio ilikuwa mbele ya bao 1-0 dhidi ya Newcastle United.Ushindi
wa kwanza wa Nyumbani kwa Stoke...



Wafanyakazi wa kampuni ya Airtel Tanzania (kutoka kushoto), Kema
Mabango, Abdallah Gunda na Jackson Mmbando wakishiriki katika shindano
la kukuna nazi wakati wa Siku ya Wanafamilia ya Airtel, iliyofanyika
katika viunga vya Fun City Kigamboni jijini Dar es salaam jana.Washindi wa shindano la kukuna nazi wakishow love. Kutoka(kushoto), Mshindi wa Kwanza, Abdallah Gunda, Mshindi wa Pili, JacksonMmbando...
Wednesday, September 24, 2014


Edu Albácar ndie aliyeanza kuifunga Real bao dakika ya 15 bao la mkwaju wa penati.Gareth Bale hakuchukua muda dakikia 20 alisawazisha bao la hilo kwa kichwa na kufanya 1-1.Cristiano
Ronaldo alifunga bao la pili dakika ya 28 na kufanya 2-1 na baadae
dakika ya 32 akaifungia bao tatu na kufanya 3-1 dhidi ya Elche kwenye
Uwanja wa Nyumbani Bernabeu na ukishuhudiwa na Mashabiki 65,000.Bao zote tatu...


Wachezaji
wa Southampton wakipongezana baada ya kuifunga bao la pili Arsenal
kwenye Uwanja wao wa Emirates, Bao lililofungwa na Nathaniel Clyne
dakika ya 40 kipindi cha kwanza.Nathaniel Clyne akifunga bao la pili.2-1Kipindi
cha Kwanza dakika ya 14 Alexis Sánchez aliwapatia bao la kwanza Arsenal
kwa frii kiki na kufanya bao kuwa1-0 dhidi ya Southampton.
Dakika ya 20 Dusan Tadic
aliisawazishia...
Tuesday, September 23, 2014


Warembo 15 kati ya 30 wanaoshiriki shindano la Redds Miss Tanzania
2014 wakisindikizwa na mkali wa Bongo Fleva kutoka Jijini Dar es Salaam,
Tunda Man, wametoa burudani kali wakati wa shindano dogo la awali la
kumtafuta mrembo mwenye kipaji lililofanyika Babati Mkoani Manyara.
Pichani juu ni washindi wa tano waliofanikiwa kuingia fainali ya
shindano hilo la vipaji litakalofanyika jijini...



Na Baraka Mpenja, Dar es salaam
MBEYA City fc imepata pigo baada ya wachezaji wake
watatu kuumia katika mechi ya jumamosi iliyopita dhidi ya JKT Ruvu iliyomalizika kwa suluhu ya bila kufungana,
uwanja wa Sokoine, Mbeya, na watakaa nje ya uwanja kwa wiki mbili.
Afisa habari wa klabu hiyo, Dismas Ten ameiambia
MPENJA BLOG mchana huo kuwa baada ya mechi iliyopita, wachezaji watano...


Na Baraka Mpenja, Dar esl salaam
IMEELEZWA kuwa mshambuliaji wa Simba sc, Mkenya
Paul Kiongera Mungai leo amefanyiwa vipimo hospitali ya Taifa ya Muhimbili kufuatia
kuumia goti katika sare ya 2-2 dhidi ya Coastal Union, jumapili iliyopita
uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Katika vipimo vya awali, Kiongera amebainika kuwa
na majeruhi sugu ya goti kama ilivyowahi kuelezwa na mtandao...


Aliyekuwa Rais wa TFF, Leodigar Chila Tenga alikuwa mchezaji muhimu wa Taifa Stars miaka ya 1980
HISTORIA inaonesha kuwa zamani mpira
wa miguu ulikuwa unachezwa kutoka ngazi ya chini mpaka juu na walipatikana
wachezaji wengi wa kulisaidia taifa.
Taifa Stars iliyoshiriki michuano ya
mataifa ya Afrika nchini Nigeria miaka ya 1980, ni ushahidi tosha juu ya suala
hilo.
Katika kipindi hicho...
Subscribe to:
Posts (Atom)