Msanii David Geez maarufu kama Young D ame-share picha za nyumba aliyonunua huko Kimara Suka.
David amenunua nyumba hiyo ambayo ataifanyia ukarabati ilikufikia kiwango anachokitaka yeye na kuhamia baadae.
Hizi ni ndiyo picha alizo-share Young D leo asubuhi.
RSS Feed
Twitter
7:12 AM
Unknown
0 maoni:
Post a Comment