Tuesday, September 9, 2014

'

Money men: United vice-chairman Edward Woodward (centre), Joel Glazer (left) and Richard Arnold (right)
Watu wa hela: Makamu mwenyekiti wa United Edward Woodward (katikati), Joel Glazer (kushoto) na Richard Arnold (kulia)

MANCHESTER wanatarajia kutangaza rekodi ya mapato leo ambayo inakadriwa kufikia paundi milioni 420 kwa msimu uliopita, huku wakipata faida ya paundi milioni 25 kutokana na mauzo ya mamilioni ya jezi duniani kote.
Mapato hayo ya mwaka pia yatahusisha fidia waliyomlipa kocha David Moyes na benchi lake la ufundi, lakini fedha hizo hazitahusisha hasara yoyote waliyoipata baada ya kushindwa kufuzu michuano ya UEFA kwa msimu huu.
Jezi ya heshima Old Trafford: Angel di Maria ndio mchezaji aliyeamua kuvaa jezi ya kipee namba 7 Manchester United
Boost: Di Maria looked impressive on his Manchester United debut and will improve them on and off the pitch
Kaongeza nguvu: Di Maria aliwavutiwa wengi katika mechi yake ya kwanza Manchester United na ataimarika zaidi akiendelea kucheza.

Taarifa zinafafanua kuwa mapato ya jumla yanakadriwa kuwa paundi milioni 429 hadi 432, na ni ongezeko la asilimia 18 hadi 19.


WAKATI Neymar akifurahishwa na uongozi wa Kocha mpya wa Brazil Dunga huku wakijitayarisha kuivaa Ecuador Jumatano huko New Jersey, USA baada ya Ijumaa kuifunga Colombia, Fulbeki Maicon ametimuliwa kwenye Timu hiyo.
Ripoti toka ndani ya Kambi ya Brazil huko Marekani zimedai Maicon, ambae anaichezea AS Roma ya Italy, amefukuzwa kutokana na utovu wa nidhamu huku Mitandao ikijaa kila aina ya sababu na nyingine kudai ni ngono.
Kwenye Mechi hii ijayo na Ecuador, mbali ya kumkosa Maicon pia Brazil itamkosa Sentahafu David Luiz ambae ana tatizo la Goti lakini Neymar, ambae ndie Nahodha wa Brazil na ambae ndie aliefunga Bao walipoibwaga Colombia 1-0 hapo Ijumaa, ana matumaini makubwa ya ushindi.
Neymar amewaambia Wanahabari kuwa Dunga ana nia na ari ya ushindi na mambo hayo yatamsaidia Kocha huyo alietwaa mikoba ya Brazil kutoka kwa Luiz Felipe Scolari Mwezi Julai.
Nae Dunga amesema ushindi dhidi ya Colombia ambao umekuja mara tu baada ya kubondwa 7-1 na Germany kwenye Fainali ya Kombe la Dunia Mwezi Julai umetoa jibu na kubadili hali ya Timu.
Nao Ecuador wanaingia kwenye Mechi hii na Brazl wakitoka kwenye ushindi wa Bao 4-0 walipoichapa Bolivia huko Fort Lauderdale hapo Jumamosi.

TETESI TATU ZINAZOMZUNGUKA MAICON MPAKA SASA.
1. The first rumour was that Maicon was caught having sexual intercourse with teammate Elias.
2. The second rumour claimed he jerked off into David Luiz’s bottle of shampoo.
3. The third rumour, which originated on satirical Brazilian website Ole do Brasil, claims Maicon spread pepper and milk on Elias’s arse and then told him in the morning that he had been raped by four men.

Monday, September 8, 2014


Maisha yamebadilika: Kiungo Cesc Fabregas alijiunga na Chelsea akitokea Barcelona 

CESC Fabregas amekiri kuwa bado anajihisi kama mchezaji wa Arsenal-licha ya kujiunga na wapinzani wao wa London, klabu ya Chelsea kwa paundi milioni 30 majira ya kiangazi mwaka huu.
Kiungo huyo mshambuliaji wa Hispania tayari ameshaonesha makeke Stamford Bridge kwa kutoa pasi za mwisho nne kwa wachezaji wenzake msimu huu.
Baada ya kuondoka katika klabu yake aliyokulia ya Barcelona-Fabregas anatarajia kurudi katika klabu yake ya zamani ya London Kaskazini akiwa na mkanda mpya wa Chelsea.
Enzi zake: Fabregas, ambaye aliichezea Arsenal kwa miaka 8, amesema siku zote anajihisi kama mchezaji wa Gunners


Furaha: Kiungo wa Hispania,  Fabregas (kushoto)  akishangilia bao la Chelsea dhidi ya Everton mapema msimu huu.
"Kwa wakati wote nitajihisi kama mtu wa Gunners na najua narudi pale (uwanja wa Emirates) na nahisi utakuwa wakati maalumu, lakini nimejifunga na Chelsea," Fabregas aliwaambia El Pais.
"Kumbuka nilicheza fainali ya ligi ya mabingwa dhidi ya Barcelona! naapa kwamba nilifanya kila kitu kuhakikisha tunashinda mechi ile hata kama nilikuwa Barcelona tangu utotoni"


Down and out: Reus looks distraught after going down in the closing stages against Scotland on Sunday
Nje: Reus akiugulia maamuzi katika  mechi ya jana usiku dhidi ya Scotland 

NYOTA wa Borussia Dortmund, Marco Reus ataikosa mechi ya ligi ya mabingwa barani Ulaya dhidi ya Arsenal huko Westfalenstadion kufuatia kuvunjika mfupa wa kifundo cha mguu katika mechi ya kuwania kufuzu fainali za Euro 2016 dhidi ya Scotland.
Mkali huyo wa Ujerumani atakaa nje ya uwanja kwa wiki nne baada ya kukatwa buti na Charlie Mulgrew jana usiku.
Arsenal watasafiri kwenda Ujerumani Septemba 16 mwaka huu kukabiliana na Dortmund katika mechi ya makundi ya ligi ya mabingwa-kwa mara ya nne ndani ya miaka minne ambapo klabu hizo zinapangwa kundi moja na Reus atarudi uwanjani mpaka mapema mwezi oktoba.
Late injury: The Germany winger goes down clutching his left ankle after a Charlie Mulgrew challenge
Balaa gani?: Winga wa Ujerumani akianguka chini baada ya kukatwa buti na Charlie Mulgrew na kuumia kifundo cha mguu wa kushoto
Absent: Reus' club Borussia Dortmund broke the news of his injury on Twitter
Atakosekana: Klabu ya Reus ya Borussia Dortmund ilitangaza taarifa hizo katika mtandao wa Twita.



Wasaniii walioshiriki tamasha la Fiesta 2014 wakiwa na mishumaa jukwaani wakisambaza upendo na kuwafariji wale wote waliopotelewa na ndugu zao,waliojeruhiwa katika ajali iliyotokea hivi karibuni wilayani Butiama mkoani Mara,ambapo watu zaidi ya 40 walipoteza maisha na wengine kujeruhiwa vibaya.

Sehemu ya umati wa wakazi wa mji wa musoma wakiwa ndani ya uwanja wa Karume,wakati tamasha la Fiesta 2014,likiendelea huku shangwe za hapa na pale zikiwa zimetawala kila kona ya uwanja.

Mmoja wa wasanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya,Barnaba ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wake mpya ujulikanao kwa jina la Waharade akiwaimbisha wakazi wa mji wa musoma waliojitokeza kwa wingi kwenye tamasha la fiesta 2014

Mmoja wa wasanii kutoka kundi la Weusi ,Nick wa Pili akiwarusha wakazi wa mji wa Musoma usiku huu kwenye tamasha la Fiesta 2014,lililofanyika ndani ya uwanja wa Karume.

Sehemu ya wakazi wa Musoma waliojitokeza kwenye tamasha la Fiesta usiku huu ndani ya uwanja wa Karume.

Mwanadada machachari awapo jukwaani,Shilole akiimba kwa madaha kabisa kwenye jukwaa la Fiesta ndani ya uwanja wa Karume mjini Musoma.

Pichani kati ni msanii wa muziki wa kizazi kipya Rachael akiwa sambamba na madansa wake wakilishambulia jukwaa la fiesta vilivyo usiku huu ndani ya uwanja wa Karume mjini Musoma

Mashabiki wakishangilia burudani iliyokuwa ikitolewa na wasanii mbalimbali jukwaani usiku huu

Mmoja wa wasanii anaeokuja juu katika anga ya muziki wa hip hop,Young Killer a.k.a Msodoki akiimba jukwaani.

Wakazi wa Musoma walivyojitokeza kwenye tamasha la Fiesta 2014 katika uwanja wa Karume usiku huu.

Sunday, September 7, 2014



Wachezaji wa Simba wakishangilia ushindi wa timu yao baada ya kuifunga Gor Mahia ya Kenya 3-0 katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Gor Mahia ya Kenya, Kennedy Opiyo katika chezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika leo kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Simba ilishinda 3-0.

Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Gor Mahia ya Kenya, Kennedy Opiyo katika chezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika leo kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Simba ilishinda 3-0.

Uniwezi...

Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akimtoka Kennedy Opiyo.

Okwi akiambaa na mpira huku Kennedy Opiyo akimsindikiza kwa macho.

Okwi akiipangua ngoome ya Gor Mahia.

Beki wa Gor Mahia, Harun Shakana akijaribu kumzuia.

Okwi akimtoka Harun Shakana.

Okwi akimtoka beki wa Gor Mahia, Harun Shakana

Okwi akichuana na beki wa Gor Mahia, Harun Shakana

Ramadhani Singano 'Messi' akichuana na beki wa Gor Mahia ya Kenya.

Kikosi cha Gor Mahia.

Kikosi cha Simba.

Golikipa wa Gor Mahia, Fredrick Onyango akiokoa moja ya hatari langoni mwake.

Mashabiki wa Simba wakishangilia ushindi wa timu yao.(Picha na Francis Dande)
Screen Shot 2014-09-07 at 12.30.26 AM 
Pamoja na idadi ya matukio mengi ya Majambazi Tanzania imekua ni nadra sana kusikia Majambazi wamevamia kituo cha Polisi na kusababisha mauaji ya askari pamoja na kuiba silaha.
Kwa mujibu wa Radio One, hii imetokea kwenye mkoa mpya wa Geita katika kituo cha Polisi Bukombe ambapo Majambazi hawa walivamia na kuwauwa askari polisi wawili na wengine wawili kujeruhiwa na kisha kuiba silaha kadhaa kutoka kwenye kituo hicho.
Majambazi wameingia kwenye rekodi za matukio makubwa 2014 baada ya wengine wanaoaminika kuwa raia wa Burundi, kuirushia daladala bomu la kutupa kwa mkono huko Kigoma baada ya daladala hiyo kugoma kusimama iliposhtukia mchezo wa kutaka kutekwa hivi karibuni.

waliotembelea blog