TANGU
wafungwe 4-0 na Chelsea huko Stamford Bridge hapo Oktoba 23, Manchester
United imekuwa Timu pekee ‘Isiyofungika’ kwenye EPL, Ligi Kuu England,
ikimaliza zaidi ya Miezi 5 bila kufungwa zikiwa ni mbio za Mechi 18. Licha
kusakamwa na Mechi kedekede wakiwa Timu pekee wenye Mechi nyingi kupita
yeyote huko England, Jose Mourinho ameongoza Kikosi hicho kwa ufanisi
mkubwa na kuwawezesha...
Friday, March 31, 2017



VPL,
LIGI KUU VODACOM, inarejea tena kwa kishindo Jumamosi hii Aprili Mosi
kwa Mechi 3 na kubwa kabisa ni ile itayopigwa Uwanja wa Taifa Jijini Dar
es Salaam kati ya Mabingwa Watetezi Yanga na Timu ngumu Azam FC. Hakika
Mechi hii ni Bigi Mechi na itatoa mwanga mkubwa kama kweli Yanga
wanaweza kutetea Ubingwa wao hasa kwa vile wapo Nafasi ya Pili wakiwa
Pointi 2 nyuma ya Vinara Simba huku...



Kiungo wa kimataifa wa Hispania anayeichezea Man United ya England Juan Mata jina lake limerudi kwenye headlines baada ya kufanyiwa upasuaji wa groin, Mata ambaye mwanzoni mwa wiki hii alikuwa akilalamika mazoezini kuwa anasumbuliwa na groin amefanyiwa upasuaji.
Taarifa zilizotoka usiku wa March 31 2017 kuhusu kiungo huyo ni kuwa
upasuaji wake...
Wednesday, March 22, 2017



Sir
Alex Ferguson atarudi tena Old Trafford kwenye Benchi wakati wa Mechi
ya Kumtukuza Kiungo wa Manchester United Michael Carrick kwa Utumishi
Ulitukuka wa muda mrefu Klabuni hapo. Ferguson, aliestaafu Umeneja
Mwaka 2013 baada ya kuitumikia Man United kwa Miaka 27, ataongoza moja
ya Timu katika Mechi hiyo Maalum. Timu atakayoongoza Sir Alex
Ferguson itaitwa Manchester United 2008 XI na...
Friday, March 17, 2017


Juan Mata(kushoto) akipongezwa na wenzake kwa bao lake la pekee katika mchezo huo wa marudiano.cha
pili dakika ya 70 Juan Mata aliwafungia Man United bao na kubadilisha
matokeo ya awali na kuwa (2-1 kwenye Agg.) Hku katika Mchezo huo wa
raundi ya 16 Man United wakimbadilisha Paul Pogba dakika ya 48 aliyeumia
na kuondolewa na nafasi yake kuchukuliwa na Fellaini. Manchester United
pia walimbadilisha...
Monday, March 6, 2017


Gwiji
wa soka duniani kutoka klabu ya Liverpool nchini Uingereza, John Barnes
jana amewanoa wachezaji wa timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 15
(Serengeti Boys) katika siku yake ya kwanza nchini katika kuadhimisha
miaka 100 ya benki ya standard Chartered tangu kuanzishwa kwake. “Ni
muhimu sana kwa kuwafundisha vijana wadogo soka katika umri huo ni wito
kwa viongozi wa soka hapa Tanzania...
Subscribe to:
Posts (Atom)