English Football League Cup, Football League Cup - Fourth Round
VIKOSI: Man Utd wanaoana XI: De Gea, Valencia, Rojo, Blind, Shaw, Carrick, Ander Herrera, Mata, Pogba, Rashford, IbrahimovicAkiba: Depay, Lingard, Young, Romero, Fellaini, Schneiderlin, DarmianMan City: Caballero, Maffeo, Otamendi, Kompany, Clichy, Garcia, Fernando, Sane, Jesus Navas, Iheanacho, NolitoAkiba: Sterling, Gundogan,...
Wednesday, October 26, 2016
Monday, October 24, 2016


Wafungaji ni Pedro mapema dakika ya (1') kaifungia bao la kuongoza Chelsea huku bao nyingine zkifungwa na
Gary Cahill dakika ya (21'), Eden Hazard dakika ya (62') kipindi cha
pili. N'Golo Kanté dakika ya (70') na mtanange kumalizika kwa bao 4-0
dhidi ya Mashetani wekundu ambao kwa sasa wanaongozwa na Kocha wa zamani
wa Chelsea Jose Mourinho.
...
Saturday, October 8, 2016



Rais
wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata
utepe kuzindua rasmi kiwanda cha kusindika matunda cha Bakhressa Food
Products kijijini Mwandege wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani leo Oktoba
6, 2016. Waziri
wa viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe Charles Mwijage (kushoto) na
katibu Mkuu wake Dkt. Adelhelm Meru wakiongea na Mwenyekiti wa makampuni
ya Bakhressa...
Subscribe to:
Posts (Atom)